November 2012 | MIKENTOBI MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
[ New Posts ] : Habari Mpya Zote - HAPA CHINI!!!
Labels :

Mwanaume na Mwanamke waliogandana huko Temeke

Written By Mike Ntobi on Friday, November 30, 2012 | 12:51 PM

Watu wawili wamekutwa wamegandiana kutokana na kuvunja amri ya sita (kufanya mapenzi) kwenye gesti moja huko temeke jijini dar es salaam masahibu hayo yamewakuta wawili hao baada ya baada ya njema mmojakuchukua mke wa mtu ambaye inasemekana amefungwa kitamaduni kana kwamba yeyote atakayejaribu kumgusa kinyume na taratibu basi atanasa na hivyo ndivyo ilivyokuwa iliyoiba mke wa mtu na kwenda naye kula raha nyumba ya wageni hapo temeke
 Hadi kufikia sasa watu hao wapo hospitalini ya temeke ambapo jitihada za kuwatenganisha kwa wataalam zimeshindikana,Na mme wa mwanamke ameibuka na kudai alipwe milioni 5 za Kitanzania ili aweze kuwachanisha hao wawili.

Huu ni umati wa watu waliofurika kuwashuhudia wawili hao waliofungishwa ndoa ya pili baada ya kujiiba awali, na sasa mume aliamua kumtega mke wake.

Baada ya watu hao kufikishwa Hospitalini hapo, ilifuata mkakati mzito wa kuficha taarifa hizo ili zisivute hisia za watu wengi. Lakini kama ujuavyo Bongo - Darisalama - Jiji la Umbea,.... watu walipata habari na ilileta tafrani kidogo kabla kuanzisha mkakati wa kuficha habari hizo ili angalau kuzuia mkusanyiko wa watu uliokuwepo na waliokuwa wakiongezeka dakika baada ya dakika.

Picha za Gari alilopata nalo ajali Sharo Millionair


Hizi ni baadhi ya picha za gari aina ya Harrier T478 BVR alilopatanalo ajali Marehemu Sharo Millionair hadi kupelekea umauti wake. Habari zaidi kuhusu picha za ajali ya gari, pamoja na tukio zima kabla ya ajali, endelea kusoma hapa chini...


Habari za uhakika kuhusiana na chanzo cha kifo cha msanii Hussein Ramadhan a.k.an Sharo milionea ni kwamba gari yake aina ya Toyota harrier ilipata pancha tairi la upande wa kulia na kukosa mwelekeo kisha ikaacha njia na kuelekea mtaroni lakini ule mtalo haukuizuru sana gari hiyo ikaruka na kuingia katika shamba la mahindi.
Kitu kilichoshangaza wengi ni sehemu ambayo si hatarishi sana kiudereva sababu iko tambarare na kona si kali eneo hilo.


Same Hall, Same Music,.... BUT, "DIFFERENT STYLE OF DANCING"

Written By Mike Ntobi on Thursday, November 29, 2012 | 11:21 PM


It is UNBELIEVABLE...!, But it is TRUE...! While all others were dancing and sharing the beats, these "two Rough Riders" were busy dancing the music of the same beats, but doing it in a different kind of amazing style...!

They were so busy in breaking up the sixth commandment of GOD! That action seams to be taking place in unawareness of others.

It has been spoken most of times that activities like this one are taking place in almost every corner of Entertainment Places nad Centers. Mostly, being Disco Halls, Dance, Ocean Beaches, Bars, Packing Sites and in most populated entertainment places. 

Be Careful with partners who requests for "GOING FOR A SHORT CALL OF NATURE", because it is in those places  where most unexpected couples do meet and clear their "THIRST" before coming back where she was before. 

"WOMEN MOANING" He Discovered: Her Moans Do Not Equal Pleasure

Written By Mike Ntobi on Wednesday, November 28, 2012 | 3:38 AM

Fake Lips...!

The common perception in bed is that when a woman moans, it’s from something you’ve done. Either you’ve finally found the little man in the boat, you’ve hit her G-spot or the foreplay has preheated the oven. Not quite...!  

Sex Stress

Written By Mike Ntobi on Tuesday, November 27, 2012 | 11:50 PM



Kevin Bridges.



Dealing with even more of your nonsense problems in the way only he can, Surgery is in session with the Scottish stand-up turned AskMen Agony Uncle, Kevin Bridges.

Donna Feldman shares: "If You Start Dressing Better, You Could Date Her.

Ask Men
Donna Feldman Fashion Tips Video
 "Ask Men - Originals"


International super model Donna Feldman shares her fashion tips for guys looking to meet the woman of their dreams!

YOUNG COSERVATIVES - What It Means To Be A Young, Moderate Conservative.



"At the very furthest extremes, both parties would have us living in dirt floor huts, reading books by candlelight."  
First things first: I think we reached our saturation point for all things election-related sometime around two months ago, and so for whatever degree of fatigue this brings you, I apologize. But I also specifically waited until after the election before sharing my thoughts, a) because it’s not my or AskMen’s job to influence anyone’s politics and b) to hopefully avoid an onslaught from rabid Obama supporters looking to defend their candidate. It’s over; he won. There’s nothing left to support or defend.

BREAKING NEWS: BURIANI HUSSEIN RAMADHANI MKIETI aka "SHARO MILIONEA" au "SHARO BARO"





MSANII WA VICHEKESHO NA MUZKI SHARO MILIONEA AMEFARIKI LEO HUKO MUHEZA TANGA KWA AJALI YA GARI AMBAPO NDUGU YAKE WA KARIBU SNURA MUSHI AMETHIBITISHA TUKIO HILO KWA NJIA YA SIMU .....

Naye Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Afande Constatine Masawe, amethibitisha kutokea kwa kifo cha wa Sharobaro, kufuatia ajali ya gari katika kijiji cha Lusanga, Muheza, mkoani Tanga ambako ndio nyumbani kwao.......

"MPAKA SASA MWILI UPO HOSPITALI TEULE YA MUHEZA ,TANGA"

Friends4Ever imepokea habari hizi kwa mstuko na masikitiko makubwa kwani nyota ya Sharo Milionea ndiyo ilikuwa inaanza kung'ara katika anga za muziki pamoja na matangazo ya biashara, akiwa kayapumulia pumzi mpya wa ubunifu na weledi katika kupeleka ujumbe kwa watazamaji ambao wakubwa na wadogo walimpenda.

Mola aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi - Amina
TUTAZIDI KUTOA UPDATE:

Namkariri Kamanda wa Polisi Tanga akisema “leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani Mkieti au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo la Maguzonizonga wilayani Muheza hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza”

Kamanda amesema hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea, katikati ya Segera na Muheza ambapo gari imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei.

HII NI SAUTI YA KAMANDA POLISI - TANGA

STUDENTS WITH SEXUAL ADDICTION...! DO THEY MAKE USE OF ME TIMELY AND PROPERLY...!?

Written By Mike Ntobi on Monday, November 26, 2012 | 3:53 AM


BUT,.. DO THEY USE THIS BALLOON TO FLY SAFE..!!???

ARE THEY PROTECTED WHEN MAKING THAT SHIT...???
Are there enough encouragement, guidelines and long term plans in providing education initiative to assist in ensuring that new generations of Tanzanians in our schools across the country get access to HIV, sexuality and life skills education through extracurricular materials?



This is a very big challenging agenda to Parents who always support a modern type of education by allowing or agreeing watching their children adapt unusual habits when at home or away. Parents takes charge of paying a lot of money to send a child to school, but a negative response from children, like the above picture, gives a bad impression that, "MANY OF SCHOOL CHILDREN UNDER THE AGE OF 18 YRS, ARE ENGAGING IN THIS KIND OF EDUCATION". 
This is a challenge to parents who are quite sure that their children are at school to learn or play the above kind of play.

NNACHEKA TU.., LAKINI MUME HUYU UTATA, "ANASAKWA NA POLISI, KISA UNGA..!?&#$%"

Written By Mike Ntobi on Sunday, November 25, 2012 | 8:16 PM

Aunty Ezekiel na Mumewe Sunday baada ya Harusi huko Dubai.

BAADA ya ile harusi ya msanii maarufu wa filamu bongo Aunty Ezekiel kufungwa huku mastaa wakimsapoti shangwe, ishu nzito imeanza kujitokeza kuwa mume wa msanii huyo hawezi kuonekana kwenye ardhi ya bongo siku za usoni, kwa madai kuwa anatafutwa na jeshi la Polisi.

Upekuzi uliofanywa na mwandishi wetu wa kutaka kubaini kwa nini bwana harusi hakutaka kumaliza ishu hiyo mwenywe, ndipo taarifa hizo zilipobainika kuwa jamaa huyo kuna ishu nzito aliyoifanya bongo na ndiyo sababu kubwa ilimfanya asije hata kuonekana kwa wakwe zake.

Chanzo cha habari kilichozungumza namtandao huu kimedai kuwa awali kabisa kabla ndoa haijafungwa jamaa alitakiwa kuja nnchini lakini hakuweza kukubali kwa kujua kuwa anatafutwa na polisi na endapo akionekana atakuwa kwenye matatizo.

Mtu huyo aliongeza kuwa kuna uwezekana hata wanafamilia wa msanii huyo wakashindwa kumuona kabisa mwanaume huyo kwani ishu inayoendelea ni kwamba jamaa ameshatoa taarifa kuwa hawezi kuja nchini na mtu anayemtaka basi ni lazima apange safari amfuate.

AUNTY EZEKIEL AALIKWA LUNCH NYUMBANI KWA BI SALMA MGIDO, AKIWA NA MUMEWE SUNDAY DEMONTE.

Maharusi Mr & Mrs Sunday Demonte wakiwa katika pose 
nyumbani kwa Salma Mgido mapema leo kwaajili ya chakula
cha mchana.

Aunty akiwa amepakata mtoto Seif wa da Katija Mashallah.

UKATA NI TATIZO LINALOFANYA STUDENTS WA UDOM KUFANYA UCHANGU LIVE..!


Taarifa ya habari ya Star tv ya saa mbili usiku ya tarehe 23/11/2012 imeeleza kuwa wanafunzi wa kike katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) wanadaiwa kufanya biashara ya ukahaba katika maeneo mbalimbali ya starehe mjini Dodoma!

Habari hii inasikitisha hasa ukizingatia umuhimu wa wasomi hawa katika Tanzania na hatari inayoweza kuwapata kama taarifa hii ina ukweli.

Kama jamii tujiulize, tatizo ni nini mpaka mtu wa level kama hiyo kuamua kuvaa vichupi na kujiuza kwenye clubs na sehemu zingine??

HATUFUNDISHWI UKAHABA BONGO MOVIE.....HIYO NI TABIA YA MTU", TUNA-MAKE MONEY.....JACK WA CHUZ

Written By Mike Ntobi on Saturday, November 17, 2012 | 3:45 AM

JACK WA CHUZ
"BONGO MOVIE HAITUFUNDISHI UKAHABA.....HIYO NI TABIA YA MTU".....JACK WA CHUZ

MSANII wa filamu bongo Jackline Pentzel maarufu ‘Jack wa Chuz’, amefunguka na kueleza kuwa ndani ya tasnia yao hakuna mwanamke changudoa au muhuni na kama yupo basi huyo alikuwa na tabia hiyo hata kabla hajaingia katika fani hiyo.

Kauli ya msanii huyo inaweza kuwa na ukweli ndani yake kwani wasanii wengi wametoka sehemu mbalimbali ndani ya taifa hili, hivyo inawezekana uchangudoa alikuwa nao kitambo lakini hakuna anayefundishwa tabia hiyo akiingia bongo movie.
 

NI USALITI HUU....!!! JACK PATRICK AKITESA NA MARTIN KADINDA... MUMEWE FUNDIKIRA AKISOTA JELA.


MATENDO anayofanya mwanamitindo Jackline Patrick wakati mumewe Abdullatif Fundikira akiteseka gerezani, yametajwa kuwa ni usaliti wa asilimia miamoja na kwamba kama hatajirekebisha, mwisho wake utakuwa mbaya.

AUNT EZEKIEL NA MUME WAKE MR. DEMONTE - DUBAI

Mr and Mrs Demonte.... "Aunt Ezekiel na Mumewe", siku ya harusi yao Dubai.
Mr and Mrs Demonte.... 
"Aunt Ezekiel na Mumewe", siku ya harusi yao 
Dubai.
Mr and Mrs Demonte.... 
"Aunt Ezekiel na Mumewe", siku ya harusi yao 
Dubai.

"BIKINI ZIMENIFANYA NIWE NA MIBONYEO KWENYE MAKALIO YANGU".....AUNT LULU


MSANII asiyeishiwa na matukio, Lulu Mathias ‘Aunt Lulu’ amefunguka kwamba kuharibika kwa mwili wake hasa kwenye makalio kumetokana na kuvaa nguo za ndani aina ya ‘bikini’ ambazo zimechimba mistari. 

DAUDI BALALI: AKIVINJARI DUNIANI NDANI YA AMERICA

Written By Mike Ntobi on Friday, November 16, 2012 | 11:22 PM

Daudi Balali: Ex Tanzanian Governor of Bank Of Tanzania.

NI KWELI BADO YU HAI?

Wote tunafahamu kuwa aliyekuwa gavana wa benki kuu ya Tanzania Daudi Balali alifariki dunia tarehe 16.05.2008 huko Boston, Marekani na kuzikwa huko huko.

CONGRATS BARRACK HUSSEIN OBAMA


DID YOU VOTE "YES" or "NO" ?



 CONGRATS BARRACK HUSSEIN OBAMA

wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 15

Written By Mike Ntobi on Thursday, November 15, 2012 | 3:31 AM


wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 20


wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 16

wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 20

Written By Mike Ntobi on Sunday, November 11, 2012 | 11:21 PM


wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 18

Written By Mike Ntobi on Saturday, November 10, 2012 | 11:13 PM


wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 17

Written By Mike Ntobi on Friday, November 09, 2012 | 11:26 PM

wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 17

Link to Wavuti Updates

Ridhiwani Kikwete, Bakhresa, Magari, Dewji kuiongoza Serengeti Boys

Posted: 09 Nov 2012 12:07 PM PST


SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania limeteua wadau 10 kwa ajili ya kusaidia timu ya taifa ya vijana walio na umri chini ya miaka 17, Serengeti Boys itakayopambana na Congo (Brazaville) katika mechi ya raundi ya tatu ya michuano ya awali ya Mataifa ya Afrika. Uteuzi huo umefanywa na Rais wa TFF, Leodegar Tenga baada ya Kamati ya Vijana ya TFF...

...click the title/link to read more.

audio: Ripoti ya tuhuma za rushwa kwenye Kamati ya Nishati na Madini

Posted: 09 Nov 2012 01:37 AM PST


Eliakim Maswi Tafadhali bofya kifute cha pleya hapo kumsikiliza Spika wa Bunge, Anne Makinda akisoma Bungeni leo, ripoti ya Kamati Ndogo ya Bunge iliyochunguza kashifa iliyomhusisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini na Nishati, Eliakim Maswi akiwatuhumu baadhi ya Wabunge kula rushwa kutoka kwenye makampunmi ya mafuta. Baada ya kusoma ripoti, Spika...

...click the title/link to read more.

Wadau wa elimu Chato wailalamikia elimu ya awali

Posted: 09 Nov 2012 01:11 AM PST


Taarifa na Daniel Limbe, Chato LICHA ya serikali kuhamasisha uanzishwaji wa elimu ya awali katika shule zote za msingi hapa nchini kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kimaarifa watoto ambao hawajafikia umri wa kuanza elimu ya msingi,hatua hiyo imeonekana kulalamikiwa sana na baadhi ya wadau wa elimu katika wilaya ya chato mkoani geita kutokana na...

...click the title/link to read more.

Mkakati wa utangazaji Utalii kuzinduliwa Novemba 15, 2012

Posted: 09 Nov 2012 01:08 AM PST


Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki akizungumza katika dhifa hiyo kabla ya kukabidhi tuzo kwa makampuni yaliyofanya vizuri katika kuuza na kutangaza utalii wa Tanzania, wa pili kutoka kulia ni Balozi Peter Kallaghe watatu kutoka kulia ni Issa Ahmed Othman Mshauri wa Rais Zanzibar Masuala ya Utalii na kulia ni Bw Yusuf Kashangwa...

...click the title/link to read more.

Vodacom Tanzania LIVE Chat Event with Kelvin Twissa

Posted: 09 Nov 2012 12:35 AM PST




...click the title/link to read more.

Kariakoo... Ijumaa... siku hizi...

Posted: 08 Nov 2012 11:33 PM PST




...click the title/link to read more.

EWURA mpo? Price gouging stations after hurricane Sandy to be fined at least 10K

Posted: 08 Nov 2012 11:31 PM PST


New Jersey officials say investigators are looking into around 100 complaints of price gouging at gas stations, hotels and other stores that sell necessities to storm victims. Judge Andrew Napolitano said on Studio B today that businesses caught by investigators unfairly raising prices are fined heavily. If the person fined wants to appeal the...

...click the title/link to read more.

video: Emotional Pres. Barack Obama sheds tears

Posted: 08 Nov 2012 09:45 PM PST


President Barack Obama wipes away tears as he thanks members of his campaign staff and volunteers. Obama's campaign released a five-minute video of the president's address Wednesday to members of his staff at his Chicago headquarters. The short speech came a day after he won re-election. The president talks about his work as a community...

...click the title/link to read more.

Seven SEALs punished for secrecy breach

Posted: 08 Nov 2012 07:56 PM PST


WASHINGTON (AP) -- A senior defense official says seven members of the secretive Navy SEAL Team 6, including one involved in the mission to kill Osama bin Laden, have been punished for allegedly disclosing classified information. The official, who discussed the matter on condition of anonymity because of the sensitive nature of the case, says the...

...click the title/link to read more.

Sheria za Marekani: Oklahoma police fine 3 yr old for peeing in their own yard

Posted: 08 Nov 2012 07:24 PM PST


Dillan Warden, the little guy who had to go OKLAHOMA CITY, OK (KCTV/KWTV) -As the saying goes, "boys will be boys," but the mother of a 3-year-old balked at paying $2,500 for what her toddler did in his front yard.  Children who are potty training will go to the bathroom when they want to go, but for Dillan, he decided to be a big boy...

...click the title/link to read more.

Obama re-election consequences: Las Vegas CEO fires 22 Workers

Posted: 08 Nov 2012 07:05 PM PST


LAS VEGAS (CBS Las Vegas) — A Las Vegas business owner with 114 employees fired 22 workers today (Thursday, November 8, 2012), apparently as a direct result of President Obama's re-election. "David" (he asked to remain anonymous for obvious reasons) told Host Kevin Wall on 100.5 KXNT that "elections have consequences" and that "at the end of the...

...click the title/link to read more.

Sheikh Mukadam aunganishwa kwenye kesi ya Sheikh Ponda

Posted: 08 Nov 2012 06:25 PM PST


Habari imeandikwa na Happiness Katabazi  KIONGOZI wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Mukadam Abdal Swalehe (45), jana alijikuta akifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akiunganishwa  katika kesi ya jinai Na.245/2012 inayomkabili Katibu wa Jumuiya hiyo, Sheikh Issa Ponda Issa na wenzake 49 wanaokabiliwa na makosa...

...click the title/link to read more.

Sheikh Mukadam aunanishwa kwenye kesi ya Sheikh Ponda

Posted: 08 Nov 2012 06:25 PM PST


Habari imeandikwa na Happiness Katabazi  KIONGOZI wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Mukadam Abdal Swalehe (45), jana alijikuta akifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akiunganishwa  katika kesi ya jinai Na.245/2012 inayomkabili Katibu wa Jumuiya hiyo ,S heikh Issa Ponda Issa na wenzake 49 wanaokabiliwa na makosa...

...click the title/link to read more.

Taarifa ya Habari Novemba 8, 2012

Posted: 08 Nov 2012 06:22 PM PST




...click the title/link to read more.

Wizara ya Elimu yaingilia kati Shule iliyofungwa, Magambani 

Posted: 08 Nov 2012 06:22 PM PST


Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeingilia kati mgogoro ulioibuka katika Shule ya Sekondari ya Bagamoyo kwa kuagiza viongozi wa Idara ya Elimu ya Wilaya ya Bagamoyo kupeleka ripoti kuhusu chimbuko la migogo hiyo ili wizara iweze kuchukua hatua haraka. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Phillipo Mulugo, Mulugo alisema baada ya wizara yake kupata...

...click the title/link to read more.

audio & text: Hoja ya @ZittoKabwe, Michango ya Wabunge kuhusu Watanzania walioficha fedha na mali haramu nje ya nchi

Posted: 08 Nov 2012 06:10 PM PST


Audio (embedded player) Text (embedded document)

...click the title/link to read more.

Habari ya Mwanaume na Mwanamke walionasana sehemu za siri

Posted: 08 Nov 2012 06:03 PM PST


Jana siku ya Alhamisi, Novemba 8, 2012, zilitolewa taarifa kuwa wapo watu wamefikishwa katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam baada ya viungo vyao vya uzazi kushindwa kuachana walipokuwa wakitenda tendo la ndoa. Habari hiyo ikasambaa kwa kasi na kadiri watu walivyokuwa wakidai kuona walao picha ya tukio hilo, wapo watu waliodiriki kueneza...

...click the title/link to read more.
Get our toolbar!Get our toolbar!
  • Alexaporn - XXX (+18) Search!Alexaporn - XXX (+18) Search!
 
Sell Your Products At TripleClicks!Share Links Earn Money!
cafepress.com/nicemike
Sale Online!
Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
Proudly powered by Blogger