11/07/12 | MIKENTOBI MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
[ New Posts ] : Habari Mpya Zote - HAPA CHINI!!!
Labels :

wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 14

Written By Mike Ntobi on Wednesday, November 07, 2012 | 11:17 PM

wavuti.com: Muhtasari wa taarifa mpya 14

Link to Wavuti Updates

Taarifa ya habari Novemba 7, 2012

Posted: 07 Nov 2012 09:52 AM PST




...click the title/link to read more.

Obama: President of records in history, even on Twitter, Faceboook

Posted: 07 Nov 2012 09:48 AM PST


A President. A celebrity. And everything in between. US President, Barack Obama has just made another World record on social networks -- Twitter and Facebook -- by having the most retweeted tweet ever on Twitter and  the most liked photo on Facebook. His tweet – "Four more years" – received more than 6.86K retweets and more than 2.35K favorites...

...click the title/link to read more.

Tatizo la mafuta: Kauli ya Waziri Kivuli wa Nishati na Madini @JJMnyika

Posted: 07 Nov 2012 09:33 AM PST


KAULI YA WAZIRI KIVULI WA NISHATI NA MADINI  KUHUSU MATATIZO YA MAFUTA YANAYOENDELEA NCHINI Katika kipindi cha ziadi ya wiki tatu nchi imekuwa katika matatizo makubwa ya upungufu wa bidhaa za mafuta ya petroli na dizeli hali yenye athari kwa uchumi wa nchi na usumbufu na gharama za ziada kwa wananchi. Katika kipindi hicho viongozi na watendaji...

...click the title/link to read more.

video: Hotuba ya Selasini (Mb); Mrema (Mb) katika ziara ya Rais Kikwete Kilimanjaro

Posted: 07 Nov 2012 09:18 AM PST




...click the title/link to read more.

Rais Kikwete amtumia salamu za pongezi Rais Obama kwa ushindi

Posted: 07 Nov 2012 08:14 AM PST


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameeleza furaha na shangwe yake kufuatia ushindi wa jana, Jumanne, Novemba 6, 2012 wa Rais Barack Obama wa Marekani katika Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo. Katika salamu zake za pongezi kwa kiongozi huyo wa Marekani ambaye amechaguliwa tena na wananchi wa nchi hiyo kwa kipindi...

...click the title/link to read more.

photos: Obama & Biden Family and THE PEOPLE

Posted: 07 Nov 2012 08:12 AM PST


wavuti.com does NOT own the following photos. They're a cross-post from zimbio.com --- Photos of U.S. President Barack Obama delivering his victory speech after being reelected for a second term at McCormick Place November 6, 2012 in Chicago, Illinois. Obama won reelection against Republican candidate, former Massachusetts Governor Mitt...

...click the title/link to read more.

Does it actually matter who wins the U.S. Election?

Posted: 07 Nov 2012 06:53 AM PST


Obama-Romney election will help decide whether America becomes a more or less inclusive society.  Does it actually matter who wins the US election? It's a debate being discussed in different fora and below is a pick of two responces from a nzherald.co.nz/opinion L-R: Barack Obama; Mitt Romney (photo: assets.rollingstone.com)    ...

...click the title/link to read more.

M/Kiti wa CCM akagua kiwanja cha Makao Makuu ya Chama

Posted: 07 Nov 2012 06:43 AM PST


picha: IKULU

...click the title/link to read more.

Transfa za Walimu Tanzania @MasoudKipanya

Posted: 07 Nov 2012 01:42 AM PST


image via marcotibasima.blogspot.com

...click the title/link to read more.

Did the World celebrate Obama’s re-election?

Posted: 07 Nov 2012 01:23 AM PST


Cross-posting this article from The Assiciated Press JAKARTA, Indonesia (AP) -- From his old school in Indonesia to a Japanese beach town that happens to share his name, people around the world cheered President Barack Obama's re-election Wednesday and expressed hope that he will help allay global conflicts and economic woes. The results of...

...click the title/link to read more.

Tanzania inavyoandika habari zake za michezo

Posted: 07 Nov 2012 01:07 AM PST




...click the title/link to read more.

Nagu avunja ukimya wa tuhuma za Sumaye kuwa Lowassa alitoa fedha ashinde

Posted: 07 Nov 2012 01:04 AM PST


WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu, amevunja ukimya na kuzungumza kwa mara ya kwanza akisema hakupewa fedha na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wala hakutumia rushwa mtandao kumuangusha Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye. Kauli hiyo ya Nagu imekuja wakati ambapo Sumaye anadai kuwa rushwa ya...

...click the title/link to read more.

Kama hana hata Shahada ya Sheria, anakaaje mahakamani, anatoaje haki kwa mujibu wa sheria ambayo hajasomea?- Lissu ahoji

Posted: 07 Nov 2012 12:57 AM PST


MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) amemtaka Rais Jakaya Kikwete kufuta haraka uteuzi wa baadhi wa majaji, akisema hawana sifa na kwamba kinyume cha hapo, atawasilisha bungeni hoja maalumu ya kumshitaki Rais. Aidha, amemtaka Spika, Anne Makinda kutangaza bungeni uchunguzi uliofanywa dhidi yake na Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na...

...click the title/link to read more.

Mabumba akiyumbisha kiti cha Spika na kuwakoroga Wabunge

Posted: 07 Nov 2012 12:08 AM PST


MWENYEKITI wa Bunge, Sylvester Mabumba amelaumiwa kwa kutumia kiti cha Spika kuyumbisha Bunge kutokana na kutoa uamuzi unaokinzana na kuwachanganya wabunge. Lawama hizo zilitolewa wabunge kadhaa akiwamo wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi (CCM) wakati walipochangia mjadala wa Azimio la Bunge la kuridhia Mkataba Mpya wa Umoja wa Posta Afrika...

...click the title/link to read more.
Get our toolbar!Get our toolbar!
  • Alexaporn - XXX (+18) Search!Alexaporn - XXX (+18) Search!
 
Sell Your Products At TripleClicks!Share Links Earn Money!
cafepress.com/nicemike
Sale Online!
Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
Proudly powered by Blogger