11/30/12 | MIKENTOBI MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
[ New Posts ] : Habari Mpya Zote - HAPA CHINI!!!
Labels :

Mwanaume na Mwanamke waliogandana huko Temeke

Written By Mike Ntobi on Friday, November 30, 2012 | 12:51 PM

Watu wawili wamekutwa wamegandiana kutokana na kuvunja amri ya sita (kufanya mapenzi) kwenye gesti moja huko temeke jijini dar es salaam masahibu hayo yamewakuta wawili hao baada ya baada ya njema mmojakuchukua mke wa mtu ambaye inasemekana amefungwa kitamaduni kana kwamba yeyote atakayejaribu kumgusa kinyume na taratibu basi atanasa na hivyo ndivyo ilivyokuwa iliyoiba mke wa mtu na kwenda naye kula raha nyumba ya wageni hapo temeke
 Hadi kufikia sasa watu hao wapo hospitalini ya temeke ambapo jitihada za kuwatenganisha kwa wataalam zimeshindikana,Na mme wa mwanamke ameibuka na kudai alipwe milioni 5 za Kitanzania ili aweze kuwachanisha hao wawili.

Huu ni umati wa watu waliofurika kuwashuhudia wawili hao waliofungishwa ndoa ya pili baada ya kujiiba awali, na sasa mume aliamua kumtega mke wake.

Baada ya watu hao kufikishwa Hospitalini hapo, ilifuata mkakati mzito wa kuficha taarifa hizo ili zisivute hisia za watu wengi. Lakini kama ujuavyo Bongo - Darisalama - Jiji la Umbea,.... watu walipata habari na ilileta tafrani kidogo kabla kuanzisha mkakati wa kuficha habari hizo ili angalau kuzuia mkusanyiko wa watu uliokuwepo na waliokuwa wakiongezeka dakika baada ya dakika.

Picha za Gari alilopata nalo ajali Sharo Millionair


Hizi ni baadhi ya picha za gari aina ya Harrier T478 BVR alilopatanalo ajali Marehemu Sharo Millionair hadi kupelekea umauti wake. Habari zaidi kuhusu picha za ajali ya gari, pamoja na tukio zima kabla ya ajali, endelea kusoma hapa chini...


Habari za uhakika kuhusiana na chanzo cha kifo cha msanii Hussein Ramadhan a.k.an Sharo milionea ni kwamba gari yake aina ya Toyota harrier ilipata pancha tairi la upande wa kulia na kukosa mwelekeo kisha ikaacha njia na kuelekea mtaroni lakini ule mtalo haukuizuru sana gari hiyo ikaruka na kuingia katika shamba la mahindi.
Kitu kilichoshangaza wengi ni sehemu ambayo si hatarishi sana kiudereva sababu iko tambarare na kona si kali eneo hilo.


Get our toolbar!Get our toolbar!
  • Alexaporn - XXX (+18) Search!Alexaporn - XXX (+18) Search!
 
Sell Your Products At TripleClicks!Share Links Earn Money!
cafepress.com/nicemike
Sale Online!
Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
Proudly powered by Blogger