February 2014 | MIKENTOBI MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
[ New Posts ] : Habari Mpya Zote - HAPA CHINI!!!
Labels :

Ukarabati wa Jengo la Bunge: Shilingi 8,200,000,000/= zadaiwa kutumika..!!??##$$

Written By Mike Ntobi on Wednesday, February 19, 2014 | 1:15 PM

Ukarabati wa Jengo la Bunge: Shilingi 8,200,000,000/= zadaiwa kutumika!

- Wadau wadai ni vigumu kuamini hizo pesa zimetumika, na kusema zingeweza kujenga Jengo jipya la Bunge lingine jipya. Waitaka Serikali kutoa Maelezo ya Kina!

Una maoni gani? Zaidi fuatilia => http://bit.ly/1gDskkk

MALUMBANO JF YAMTOKEA PUANI MTOTO WA KIGOGO WA SISIEM AISHIE NJE YA NCHI.

Kama mwananchi wa Tanzania, nimeshitushwa sana na habari za pesa zilizotumika kukarabati Bunge kwa ajili ya Bunge la Katiba, siamini kwamba hizo pesa ni kweli zimetumika kukarabati tu.

Kwa maoni yangu, hizo pesa kama kweli zimetumika basi zingeweza kujenga jengo jingine jipya kabisa la bunge pembeni na bunge la sasa unless kuna something I am missing on the issue. 
...Nilishtuka sana baada ya kusoma hio figure. Na bado watalipwa 300,000 kila siku kwa kukalia hivo viti:


Wadau wadai ni vigumu kuamini hizo pesa zimetumika, na kusema zingeweza kujenga Jengo jipya la Bunge lingine jipya. Waitaka Serikali kutoa maelezo ya kina.

ENZI HIZI HAPA CHINI, HAYO MAUJINGA YASINGETOKEA HATA KIDOGO:

Filipo's Avatar

Mimi nadhani hizo pesa ni nyingi mno, zinahitaji kutolewa maelezo na wahusika au kama humu ndani kuna wasomi wa ujenzi wanipe darasa kidogo, kwani siamini kama ni kweli tumekarabati tu bunge kwa Billioni 8.2! 

Mabishano kadhaa NDANI YA JF: 

"Umesahau ripoti za CAG juu ya ubadhirifu, hatua gani zimechukuliwa kwa wahusika?
Kama chama kingekuwa makini huo ujasiri wa kutumia 8.2bilion kukarabati ukumbi ungetoka wapi? Ndo maana nakuambia subiri vikao vya ndani maana kwenu ni biashara kama kawaida'.
Sana sana huwa tunaona wanaolalamika toka huko ni wale waliokosa 'mgao' siyo kuwa na uchungu na rasilimali zetu!". 

"Kaka hapa ninaongea Taifa sio chama, hizo pesa ni nyingi sana mkuu wangu kwa ukarabati tu na it does not make any sense at all!!"

"Unanafasi ya kumuuliza mwenyekiti wako wa ..., Mama M......, au N.... akusaidie kuuliza... ww ndo unashangazwa na ubadhilifu huu??? Kama ni Taifa linaloongea, CHADEMA unayo kadi, CUF unayo kadi, NCCR unayo kadi. Acha kutuzingua na wewe, kama Baba yako hakukuandaa ule umeshachelewa. Endeleza utapeli nja misifa tu huko Nigeria kwa matapeli wenzio. Watanzania, tumechoshwa na kusikia majina yaleyale tu kila siku" 

"Hivyo ndivyo mlivyo,nashangaa leo unawashangaa wenzako!!!!au hukupata mgao? Ufisadi sio tatizo hapa Tanzania bali ni sera ya chama chenu." 

"Leo ndo umeshituka mbona kuna pesa nyingi tu zinatumika ndivyo sivyo au hizi unadai kwa vile Sio mmoja wa washikaji walioteuliwa?" 

"Upo ukumbi mpya kabisa wa Mwalimu Nyerere umejengwa na Wachina Dar ambapo wengi wa wajumbe wanaishi. Kwanini hatukuukodi huu kuendeshea vikao vya bunge? Labda serikali ingesevu gharama za nauli, mafuta ya wabunge kwenda Dom. Sasa, Mafuta wanapewa kwenda Dom, Bil 8.2 zimeyeyuka, matatizo yako palepale, vifo vya kukosa dawa, watoto hawana madawati na vitabu mashuleni, kodi zinazidi kupandishwa tu hadi "LINE ZA SIMU TULIPIE KODI" Watanzania kila fursa inageuzwa kuwa deal/ulaji hadi misiba!" 

"Kaka ni kutumia akili japo kidogo tu then utajua kwamba hizo zilizotumika ni pesa zilizoidhinishwa na Bunge wakiwemo WapinzanI"

"Kaka sihitaji kuteuliwa kwenye anything ndio maana nipo huku Lagos nafanya mambo yangu, pole sana mnaishi kwa kusubiri kuteuliwa, pole sana kaka!!" 

"Inavyoelekea unataka tukunyang'anye kadi ya chama. Unasema unaongea taifa, kwani chama tawala ni cha taifa gani? Kwa nini huulizi maswali ya namna hii kwenye vikao vya ndani? Au na wewe unataka sifa? Au kwa kuwa haujateuliwa bunge la katiba kupitia watu wenye malengo yanayofanana? Usituharibie taswira ya chama, una fursa nyingi tu za kupata ufafanuzi wa fedha hizo, lakini kwa makusudi tu umekuja kuiweka huku JF. Tuheshimiane tafadhali!" 

"Kaka sihitaji kuteuliwa kwenye anything ndio maana nipo huku Lagos nafanya mambo yangu, pole sana mnaishi kwa kusubiri kuteuliwa, pole sana kaka!!"

"Hapo kwenye red + Avator yako ni dalili tosha za mwanaume kutojiamini." 

"Any way, mada yako ya leo ina mashiko lakini hata hivyo ni unafiki tu kwa sababu serikali ya chama chako imefanya madudu makubwa mno zaidi ya haya na siku zote mnafumbia macho. Naungana na mchangiaji aliyesema unalalamika kwa sababu hukuchaguliwa." 

"Mzee wa babes achana hawa jamaa ni wivu wa kike tu! Is unajua wewe ni mtu wa kupiga kazi sana? Hawajui hilo na sasa hivi uko zako hivyo, na umeingia kupiga kazi toka saa nane usiku au siyo?
Eeb bana pamoko sana wasalimie ma-babes wa huko bana ukijimwaga. Club baadae...
Ungepiga kazi tu mtu wangu, maana si- unavyeo vya kutosha tu kuulizia haya maubadhilifu. Ndani ya vikao halali...ebu nikumbushe? Kuna mjumbe sijui, halafu mlezi...halafu nini tena vile.."

"Le Mutuzi unajiandaa kwa ajili ya jimbo la mtera...utapita kwa Nabii TB Joshua ukiwa Hapo Lagos....?" 

"Le mutuz Leo hauko upande wao kuwatetea? Au machungu ya kutokuchaguliwa kuingia mjengoni. 
Kwanza hongera kwa kusemea hilo, ni Kweli kabisa umesema. Ni dawa kiasi gani kwenye zahanati na vituo vya afya zingepelekwa? Madawati mangapi yangenunuliwa? BRN wanafunzi wanakaa chini? Aibu yetu Tanzania na serikali."

Download an updated version of NICEMIKE Mobile App

Written By Mike Ntobi on Wednesday, February 12, 2014 | 11:10 PM

NICEMIKE

NICEMIKE

Hi! :-) Friends, I see you like sharing videos on Social Networks like Facebook, Twitter, LinkedIn, MySpace, YouTube, etc; so you might want to take a look at my mobile site which will make you more...

GET IT NOW

    via the app stores

    Store iconStore icon

    Via e-mail


    Via QR code Scan the QR code to get this app

    Get our toolbar!Get our toolbar!
    • Alexaporn - XXX (+18) Search!Alexaporn - XXX (+18) Search!
     
    Sell Your Products At TripleClicks!Share Links Earn Money!
    cafepress.com/nicemike
    Sale Online!
    Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

    Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
    Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
    Proudly powered by Blogger