May 2014 | MIKENTOBI MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
[ New Posts ] : Habari Mpya Zote - HAPA CHINI!!!
Labels :

Woman with world’s biggest natural assets

Written By Mike Ntobi on Sunday, May 04, 2014 | 5:25 AM



Worlds-Biggest-Hips

Woman with world’s biggest natural assets

Says -  " I’m so happy being hippy "


CURVY Mikel Ruffinelli shows off the world’s biggest hips — measuring more than EIGHT FEET round.

The mum of four’s amazing natural 100in curves mean she struggles to get through doorways — and needs two seats on planes.
Mikel, 39, drives a truck as her 30st frame cannot squeeze into a car and needs a reinforced chair at home.

Worlds-Biggest-Hips1

This is Medium size Asset structure

Yet the plus-size model — a trim 10st as a teenager — is PROUD of her figure and does not want to lose weight, even though she often attracts jeers. She said: “Everywhere I go I get attention for my hips — both good and bad.
“When I walk down the street I can hear the shutters going on cameraphones and people laughing at me.
“I’ve heard people saying, ‘Look at her fat a**’.
Worlds-Biggest-Hips1
Worlds Biggest Hips Ever

“Some people assume I’ve had surgery to enhance my a** and hips, but it’s all natural. I think that it’s the result of having four children, but large hips also run in my family.”
Mikel was a normal-sized youngster and even in her early 20s tipped the scales at a modest 13st.

But at 22, she put on four stone after having first child Andrew, now 18. And after daughters Destynee, 13, Autumn, eight, and Justyce, seven, followed, her weight and hips ballooned further.
But despite her curves she stands at just 5ft 4ins and has a proportionally small 40-inch waist Married Mikel, of Los Angeles, owns up to the difficulties that her size causes in everyday life.
Mikel with her Hubby
Mikel with her Hubby

She revealed: “When I travel by plane or train I have to buy two seats because I can’t fit my a** into one. It gets quite expensive. I drive a truck rather than using public transport wherever possible because it’s big enough to fit all of me in.
“Going through tight spaces is sometimes a problem for me and I have to go through doorways sideways.
“And I can’t close the shower door because my hips get in the way. I’ve even been stuck in the bath before.”
mum Mikel Ruffinelli spills over a chair
mum Mikel Ruffinelli spills over a chair
Yet she still enjoys joining in family activities such as keep-fit routines at home and trips to the park and seaside — where she shows off her 42D boobs in a revealing two-piece costume.
She added: “Finding clothes to fit my bottom half is a challenge. I have my lingerie custom-made by seamstresses.”
Mikel also defiantly vows never to diet after vainly struggling for years with slimming plans.
She eats an average 3,000 calories a day — 500 more than the recommended intake for an average man — and she joyfully tucks into her favourite Mexican dishes as well as chicken, seafood and cheese.
Mikel and her Children perform exercise
Mikel and her Children perform exercise

On an average day she has two eggs, sausage, bacon and half a dozen potatoes for breakfast.
Her lunch is often fried fish and chips and dinner is barbecue chicken with rice or mashed potato.
In between meals Mikel snacks on peanuts, granola bars and crisps. And hubby Reggie Brooks, 40, is delighted at her well-fed figure.
The computer technician — wed to her for ten years — beamed: “I love her shape. When we met she already had big hips. That’s one of things that attracted me.
Worlds Biggest hips!

"Simlipi Wema Mil 13 Ng'o" - Kajala

JAMBO limezua jambo! Zile shilingi milioni 13 alizolipa staa mkubwa wa kike Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ mahakamani ili kumnusuru Kajala Masanja kwenda gerezani, zinaendelea kusababisha fukuto na sasa Kajala amejibu mapigo, akisema hatamlipa Wema fedha hizo.

Malkia wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja.

Wema na Kajala wapo kwenye gogoro zito kwa muda mrefu huku mashabiki wa mastaa hao waliojipa majina ya Team Wema (wanaomuunga mkono Wema) na Team Kajala (walio upande wa Kajala) wakiukuza ugomvi huo kwa kushambuliana kwa maneno makali kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.


WEMA KUFUNGUKA
Katika gazeti hili, toleo namba 877 la Aprili 25-Mei Mosi, 2014 la wiki iliyopita, liliandika habari ya Wema iliyokuwa na kichwa; Kwa mara ya kwanza Wema afunguka, asema: NAJUTA KUMLIPIA KAJALA MIL. 13!
Hiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa Wema kufunguka baada ya bifu la kimyakimya la muda mrefu ambapo alifafanua chanzo cha bifu lao na namna anavyojuta kumlipia Kajala fedha hizo.

“Kusema kweli najuta kumlipia (Kajala) ile faini ya Sh. milioni 13. Bora angeenda jela miaka saba kuliko kunisababishia matatizo na maumivu kiasi hiki. Mimi sijawahi kumsema vibaya K kisa eti nilimlipia fedha hizo,” alisema Wema katika gazeti hilo.
Alipoambiwa kama Kajala yupo tayari kurudisha fedha hizo alisema:
“Kama anataka kunilipa, anilipe kisha aende jela maana mimi sikumkopesha, nilitoa kwa moyo.”
 

Diva wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu a.k.a ‘Beautiful Onyinye’.

HABARI ZA MOTO
Baada ya gazeti hilo kuruka mitaani na Kajala kulipata ndipo akaeleza mambo mazito.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Kajala alisema katika vitu ambavyo Wema anatakiwa kuvisahau ni pamoja na kumlipia mahakamani hizo milioni 13.

“Siwezi kumlipa ng’o. Namlipa nini sasa na kivipi? Kwani tulikopeshana? Hakuna anachonidai Wema, hata kama akisema nimlipe, siwezi kufanya hivyo,” alisema Kajala.
Huku akimwaga machozi, Kajala aliendelea: “Unajua haya mambo yanachukuliwa kirahisi tu na wadandiaji wa mambo, ni vile watu hawajui ni kwa kiwango gani hili suala linaniumiza.
“Wema alinisaidia, alinilipia fedha mahakamani wakati ambao nilikuwa na uhitaji na sikuwa na zile fedha. Kama asingejitokeza kunilipia nilikuwa nakwenda jela.

“Lile ni jambo kubwa. Thamani yake haifananishiki na fedha. Ule ulikuwa ni utu tu, sasa leo iweje ligeuzwe kuwa kama deni? Siwezi kufanya hivyo.”

YUPO TAYARI KWA SULUHU
Kwa mara nyingine tena, Kajala alisema kuhusu kupatana na Wema yupo tayari muda wowote, maana haoni sababu ya kuendelea kwa ugomvi huo.

Hii ni mara ya tatu Kajala kuzungumzia suluhu akisisitiza: “Nakosa amani kabisa na huu mzigo. Natamani kuutua. Nipo tayari kukutanishwa naye hata leo tuyamalize.” 


HABARI YA MJINI
Habari ambazo zimeenea mjini lakini bado hazijathibitishwa zinadai kuwa, Kajala anajiamini kwa sababu anajua fedha alizolipiwa na Wema si zake, zililipwa na aliyekuwa mwanaume (boyfriend) wa Wema, yule kigogo wa Ikulu anayetajwa kwa jina la CK.
“Lile lilikuwa agizo, Wema hakuwa na fedha zote zile kwa ajili ya kumlipia Kajala. Alipewa na CK na kuambiwa amlipie ili asiende jela,” alisema mmoja wa watu wa karibu na mastaa hao kwa sharti la kutotajwa gazetini.

ETI ULIKUWA MPANGO!
Chanzo kinaendelea: “Alivyoingia mitaani, CK akajiweka karibu na Kajala na kumweleza mchongo mzima, kuwa yeye ndiye aliyetoa  hizo fedha kwa hiyo asiwe na wasiwasi.
“Ndiyo maana hata Wema na CK walivyoachana ikawa rahisi kwa CK kujimilikisha Kajala moja kwa moja kwa sababu anaujua ukweli.”
Haya ni madai ya chanzo chetu ambayo hayajathibitishwa na wahusika.


SAFARI ZA CHINA VIPI?
Habari nyingine ambazo bado zinafuatiliwa ili zithibitishwe, zinasema kuwa, safari nyingi za Kajala kwenda China kwa mapumziko huwa anamfuata au kuongozana na CK.
“Hata sasa hivi (juzi Jumatano) wapo safarini China wanakula bata. Yaani haya mambo yamejifunga sana. Yanahitaji hekima sana kuyamaliza,” aliendelea kudai.


BIFU HADI LINI?
Wadau wa tasnia ya filamu Bongo, kwa nyakati tofauti wamekuwa wakipiga simu na kutuma ujumbe mfupi katika chumba cha habari cha magazeti pendwa Tanzania, Global Publishers na kueleza jinsi ambavyo mtaani kunazidi kuchafuka kuhusu sakata hilo huku wengi wakiwataka wayamalize.

“Haya mambo yanakuzwa na watu. Hawa ni wasanii wazuri, wana majina makubwa na wanaendana, nashauri wazungumze, wayamalize. Bifu lao halijengi badala yake linabomoa,” Maimuna Sadallah wa Majani Mapana, Tanga alieleza katika ujumbe wake.
Msomaji mwingine aliyejitambulisha kwa jina la mama Mwaija mkazi wa Mbagala - Maji  Matitu, Dar alikuwa na haya ya kusema: “Haya mambo ya wanangu Wema na Kajala yananichoma sana. Napenda sana filamu zao, nafurahia namna wanavyoshirikiana na kusaidiana. Hebu wamlaani shetani.”

WAZAZI WAOMBWA KUINGILIA KATI
James Sukae wa Kimara-Baruti, Dar alisema: “Hili jambo na umri wao naona ni kubwa sana kwao kulimaliza. Tukisema tusubiri wayamalize wenyewe, haitawezekana ila litazidi kuwa kubwa.
“Kajala ana wazazi wake, Wema naye kadhalika.

Tena hapa nisisitize, wazazi wanaopaswa zaidi kushughulikia hili ni mama zao. Mama Kajala na mama Wema wanatakiwa kukutana na watoto wao ili wawakalishe na kuzungumza.
“Kwangu mimi, mbele ya wazazi ni jambo dogo sana. Hekima zao ni kubwa na bila shaka watalimaliza kuliko kuacha likielea kama ilivyo sasa. Wakipuuzia hili suala litasababisha janga kubwa.”

Hivi Aunt.. Huyo ni Sunday AU!? Maana.. Duh!






Aunt Ezekiel afata nyayo za Wema Sepetu na Diamond the Platnumz, ni jana tu tuliona Diamond the Platnumz na Wema Sepetu waliamua kuachia picha ikionyesha huku wakinyonyana ndimi, basi na aunt yake akaona isiwe shida, na yeye huko alipo Dubai akaamua kufanya yake kwa kufanya mapenzi na mpenzi wake, na baada ya hapo akaamua kufotoa picha huku wakinyonyana ndimi na kuficha sura ya mwanaume wake. 

  

Kasura ka mwanaume hapo kushoto kanafanana na ka Sunday kidogo... ila ndo inasemekana yuko Lupango nchi za watu.  Au ni picha ya zamani hiyo unatuzuga tu? Eh! watajua wenyeweee....! 

Mtoto Anusuru Ndoa ya Bob Junior

Msanii wa Bongo Fleva, Raheem Nanji ‘Bob Junior’
akiwa na mkewe na mwanaye.
MTOTO wa msanii wa Bongo Fleva, Raheem Nanji ‘Bob Junior’ ametajwa kuwa ndiyo sababu kubwa ya kurejesha ndoa iliyovunjika ya msanii huyo na aliyekuwa mkewe iliyovunjika miezi michache iliyopita.

Msanii wa Bongo Fleva, Raheem Nanji ‘Bob Junior’.
Akizungumza na mwandishi wetu, msanii huyo alisema kuwa kipindi chote wakati ameachana na mkewe alikuwa akimkumbuka sana mwanaye ambaye alikuwa akiishi na mama yake, Halima.

Raheem Nanji ‘Bob Junior’ akiwa na mwanaye.
“Wakati nimetengana na mke wangu kitu kikubwa nilichokuwa nikikimisi kilikuwa ni uwepo wa mwanangu, nashukuru Mungu kwa sasa nimerudiana naye,” alisema Bob Junior.

Mume Jela, Aunt Ala Raha Viwanja!

Habari za mjini zinadai kuwa, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel yuko Dubai akiponda raha huku mumewe, Sunday Demonte akidaiwa kuwa jela jijini Abu Dhabi katika nchi za Falme za Kiarabu (UAE).


Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiponda raha.

Awali, ilidaiwa kuwa, Aunt aliondoka  Bongo kwenda Dubai kuungana na mumewe katika ndoa, lakini vyanzo vya karibu vikahoji mumewe yupi? Mbona yuko jela baada ya kudakwa kwa kuishi kinyume cha sheria!

CHANZO CHATIRIRIKA
Kwa mujibu wa chanzo hicho, taarifa za mumewe kuwa jela,  Aunt alizichukulia poa kwani baada ya tu ya habari hizo Aunt aliendelea kujirusha katika kumbi tofauti jijini Dar na hata nje ya Dar kana kwamba hakuna kitu kilichotokea.

“Aunt hakushtuka chochote taarifa zilimfikia mapema, lakini hakuchukua hatua yoyote hata kule kuonesha kwamba amehudhunika,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
“Kama hamuamini tembeleeni katika kumbi za starehe kila siku tunakula naye bata kama kawaida, angekuwa mwingine angejaribu hata kuwa karibu na ndugu wa mume kushirikiana na kujua taarifa za mumewe.”


Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiwa na mumewe Sunday.

AUNT ALIPOKEAJE MUMEWE KUFUNGWA?
Kumbukumbu zilizopo katika makrabasha ya Magazeti Pendwa zinaoonesha kuwa, Aunt alipoulizwa na mapaparazi wetu kuhusiana na taarifa hizo, alikiri kuzifahamu lakini akafafanua kuwa mumewe alikamatwa na kuachiwa huru lakini watu wa karibu wameendelea kupinga.
“Mume wangu amekamatwa ndiyo lakini si kama watu wanavyosambaza maneno wanayoyajua wao na kupindisha ukweli, alikamatwa kutokana na suala la kibali cha makazi kwisha muda wake lakini amesharekebisha, ameachiwa,” alisema Aunt.

HAONEKANI BONGO, DUBAI
Licha ya Aunt kudai mumewe huyo alikamatwa na kuachiwa, lakini tangu alipotamka kauli hiyo mwishoni mwa mwaka jana hadi sasa, mwanaume huyo hajawahi kuonekana hadharani.


“Tangu alipokamatwa hakutoka tena na ishu yenyewe aliyokamatwa nayo inasemekana ni mbaya hivyo si rahisi kutoka,” kilisema chanzo hicho bila 
kufafanua ni ishu gani.

MAPAPARAZI WETU WAMNASA
Wakati taarifa hizo zikiendelea kusambaa jijini Dar, mapaparazi wetu waliwahi kumnasa staa huyo katika viwanja tofauti vya starehe kwenye miji ya Arusha na Dar es Salaam.
Uchunguzi wa mapaparazi wetu ulionesha kuwa kabla na baada ya taarifa za mumw kukamatwa kusambaa, Aunt hakuonesha tofauti, aliendelea kula kunywa na kucheza kama kawaida.

AUNT AENDELEZA BATA
Mapama wiki hii, Aunt ambaye yupo Dubai aliposti picha katika mtandao wake wa Instagram na kuonesha jinsi gani anakula raha huko.


Picha hizo zinamuonesha mrembo huyo akiwa katika bwawa maalumu la kuogelea (swimming pool) huku akinywa vinywaji tofauti hali ambayo ilileta tafsiri kwa mashabiki wake kwamba ni kuponda raha huku mumewe akidaiwa kuwa jela.
“Sasa huyu (Aunt) jamani vipi, badala apambane kujua hatima ya mumewe yeye yupo bize kula raha za mjini utadhani ana furaha,” alichangia shabiki 
wake mtandaoni.

AWACHEFUA MASHEMEJI
Taarifa zaidi zimeeleza kuwa mara baada ya kuzagaa kwa picha hizo katika mitandao ya kijamii, baadhi ya mashemeji wa Aunt walikuja juu na kudai wanamshangaa ni vipi haoni hali ilivyo na hawamsikii akizungumzia lolote kuhusu ndugu yao.
“Mashemeji zake wamekasirika kwelikweli kwani kuzagaa kwa picha hizo mtandaoni kunaleta tafsiri kwamba Aunt hana mpango na Demonte,” kilisema chanzo.

WIFI AZUNGUMZA
Katika kusaka data zaidi za ndugu wa Demonte, paparazi wetu alimtafuta mmoja wa mashemeji hao wa Aunt ambaye hakutaka jina lake lichorwe gazetini ambapo alisema wamechukizwa na picha hizo na wanajipanga kumpa talaka.
“Huu si ubinadamu hata kidogo, sasa kwa kuwa ameamua kumwaga mboga sisi tutamwaga ugali, dawa yake tunamuandalia mipango ya talaka ambapo tukimpata Demonte kwa njia yoyote na akabariki talaka, tunampa muda wowote,” alisema shemeji huyo huku akikiri kuwa hata wao hawajui Demonte yukoje kwa sasa baada ya kupoteza mawasiliano naye.
Get our toolbar!Get our toolbar!
  • Alexaporn - XXX (+18) Search!Alexaporn - XXX (+18) Search!
 
Sell Your Products At TripleClicks!Share Links Earn Money!
cafepress.com/nicemike
Sale Online!
Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
Proudly powered by Blogger