![]() |
Daudi Balali: Ex Tanzanian Governor of Bank Of Tanzania. |
NI KWELI BADO YU HAI?
Wote tunafahamu kuwa aliyekuwa gavana wa benki kuu ya Tanzania Daudi Balali alifariki dunia tarehe 16.05.2008 huko Boston, Marekani na kuzikwa huko huko.
Ni nani huyu anayejifanya ni Daudi "Mnyalukolo" wa Mafinga..??
Heri aendelee kujificha ndiyo salama yake vinginevyo, PATACHIMBIKA AISEE!
ReplyDelete