Mikakati ya CHADEMA kuteka waandishi
Kwa kipindi cha miaka miwili mitatu sasa kumekuwa na matukio ya kinyama na ya uvunjaji haki za binadamu dhidi ya watanzania wachache wenye moyo wa uzalendo wa kuleta haki na usawa kwa jamii ya kitanzania iliyonyanyasika kwa kipindi kirefu.
Hivi majuzi Absalom kibanda mwenyekiti wa jukwaa la wahariri ameteswa na kufanyiwa unyama wa hali ya juu huku jamii ikibaki na maswali yasiyokuwa na majibu.
Aliteswa mpiganaji DR ULIMBOKA wakati yupo kwenye harakati za kuitetea sekta ya afya hapa nchini.
kijana ISSAH alimwagiwa tindikali huko igunga huku kukitokea mauaji ya kusikitisha ya mwandishi DAUDI MWANGOSI mkoani iringa na mwananchi asiye na hatia huko morogoro.
Watu wenye uchungu na nchi yao wamechoka wameona sasa basi...
Tukio la KIBANDA ni mwendelezo wa matukio yanayofuata.. Hivi karibuni mtasikia tukio lingine kubwa dhidi ya mwandishi mwandamizi wa Mwananchi Communications Ltd...... sikiliza video.
Huyu anayeongea ni mchora dili mkuu kwa maelekezo ya mwenyekiti na katibu wake mkuu.
Hii ni part 4, part zingine zimekwisha tekelezwa Ila ZITAWEKWA HAPA WAKATI MAHSUSI UKIFIKA...
CHADEMA, hapa Lwakatare alikuwa anamaanisha nini?
BOMB SHELL CHADEMA na UTEKAJI NYARA WAANDISHINaona kuna jamaa anasemwa kuwa ni mkali wa kuchonga plan lakini haonekani mahali!!!
Wakuu naomba tutafakari kwa kina hii video ya mkakati wa utekaji nyara ambao ulikua ukielezewa hapa kwenye video na mkuu wa kitengo cha usalama (utekeji) ndani ya chadema, huyu ni Wilfred Lwakatare zamani alikua akifanya kazi na CUF, Je hapa alikua akim-target nani??????????????????????????????? je ni Dk Ulimboka?? je ni Kibanda??.
Kutokana na hii clip naanza kupata mwanga.... Huyo aliyeiposti hii clip LAZIMA atakakuwa kwa njia moja ama nyingine anahusika. Baada ya kuipata, akaamua kumshambulia Kibanda ili ionekane mzungumzaji kwenye hii clip ndie muuaji.... Kwa hiyo hata Ridhiwani alipoposti ile kejeli facebook alikuwa na maana kubwa sana na huenda anajua undani wa kila kitu... Undani ni kwamba kitengo cha usalama (utekaji) chadema kinahusika sana,inabidi turudi nyuma mpaka kwenye kifo cha chacha wangwe,pengine huyu bwana ndio ali-engineer ile "ajali".
Yuko mtu mmoja yeye alijaribu kuwa tofauti na clip hii, na anasema "Magamba hata mfanyeje, hamtaweza kuubadilisha ukweli uliopo akilini mwa watanzania kwamba Dr. Ulimboka na Kibanda wametekwa na Mbwa wa Magamba na nyie mitakataka mnaokuja kuandika upuuzi ili kutaka kuwapoteza watu, subirini ukombozi ukifika, hamtatutoroka!"
No comments:
Post a Comment