MIKENTOBI: Lifestyle | A Blog with updated posts about events and current issues! MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
[ New Posts ] : Habari Mpya Zote - HAPA CHINI!!!
Labels :
Showing posts with label Lifestyle. Show all posts
Showing posts with label Lifestyle. Show all posts

Mume Jela, Aunt Ala Raha Viwanja!

Written By Mike Ntobi on Sunday, May 04, 2014 | 2:22 AM

Habari za mjini zinadai kuwa, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel yuko Dubai akiponda raha huku mumewe, Sunday Demonte akidaiwa kuwa jela jijini Abu Dhabi katika nchi za Falme za Kiarabu (UAE).


Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiponda raha.

Awali, ilidaiwa kuwa, Aunt aliondoka  Bongo kwenda Dubai kuungana na mumewe katika ndoa, lakini vyanzo vya karibu vikahoji mumewe yupi? Mbona yuko jela baada ya kudakwa kwa kuishi kinyume cha sheria!

CHANZO CHATIRIRIKA
Kwa mujibu wa chanzo hicho, taarifa za mumewe kuwa jela,  Aunt alizichukulia poa kwani baada ya tu ya habari hizo Aunt aliendelea kujirusha katika kumbi tofauti jijini Dar na hata nje ya Dar kana kwamba hakuna kitu kilichotokea.

“Aunt hakushtuka chochote taarifa zilimfikia mapema, lakini hakuchukua hatua yoyote hata kule kuonesha kwamba amehudhunika,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
“Kama hamuamini tembeleeni katika kumbi za starehe kila siku tunakula naye bata kama kawaida, angekuwa mwingine angejaribu hata kuwa karibu na ndugu wa mume kushirikiana na kujua taarifa za mumewe.”


Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiwa na mumewe Sunday.

AUNT ALIPOKEAJE MUMEWE KUFUNGWA?
Kumbukumbu zilizopo katika makrabasha ya Magazeti Pendwa zinaoonesha kuwa, Aunt alipoulizwa na mapaparazi wetu kuhusiana na taarifa hizo, alikiri kuzifahamu lakini akafafanua kuwa mumewe alikamatwa na kuachiwa huru lakini watu wa karibu wameendelea kupinga.
“Mume wangu amekamatwa ndiyo lakini si kama watu wanavyosambaza maneno wanayoyajua wao na kupindisha ukweli, alikamatwa kutokana na suala la kibali cha makazi kwisha muda wake lakini amesharekebisha, ameachiwa,” alisema Aunt.

HAONEKANI BONGO, DUBAI
Licha ya Aunt kudai mumewe huyo alikamatwa na kuachiwa, lakini tangu alipotamka kauli hiyo mwishoni mwa mwaka jana hadi sasa, mwanaume huyo hajawahi kuonekana hadharani.


“Tangu alipokamatwa hakutoka tena na ishu yenyewe aliyokamatwa nayo inasemekana ni mbaya hivyo si rahisi kutoka,” kilisema chanzo hicho bila 
kufafanua ni ishu gani.

MAPAPARAZI WETU WAMNASA
Wakati taarifa hizo zikiendelea kusambaa jijini Dar, mapaparazi wetu waliwahi kumnasa staa huyo katika viwanja tofauti vya starehe kwenye miji ya Arusha na Dar es Salaam.
Uchunguzi wa mapaparazi wetu ulionesha kuwa kabla na baada ya taarifa za mumw kukamatwa kusambaa, Aunt hakuonesha tofauti, aliendelea kula kunywa na kucheza kama kawaida.

AUNT AENDELEZA BATA
Mapama wiki hii, Aunt ambaye yupo Dubai aliposti picha katika mtandao wake wa Instagram na kuonesha jinsi gani anakula raha huko.


Picha hizo zinamuonesha mrembo huyo akiwa katika bwawa maalumu la kuogelea (swimming pool) huku akinywa vinywaji tofauti hali ambayo ilileta tafsiri kwa mashabiki wake kwamba ni kuponda raha huku mumewe akidaiwa kuwa jela.
“Sasa huyu (Aunt) jamani vipi, badala apambane kujua hatima ya mumewe yeye yupo bize kula raha za mjini utadhani ana furaha,” alichangia shabiki 
wake mtandaoni.

AWACHEFUA MASHEMEJI
Taarifa zaidi zimeeleza kuwa mara baada ya kuzagaa kwa picha hizo katika mitandao ya kijamii, baadhi ya mashemeji wa Aunt walikuja juu na kudai wanamshangaa ni vipi haoni hali ilivyo na hawamsikii akizungumzia lolote kuhusu ndugu yao.
“Mashemeji zake wamekasirika kwelikweli kwani kuzagaa kwa picha hizo mtandaoni kunaleta tafsiri kwamba Aunt hana mpango na Demonte,” kilisema chanzo.

WIFI AZUNGUMZA
Katika kusaka data zaidi za ndugu wa Demonte, paparazi wetu alimtafuta mmoja wa mashemeji hao wa Aunt ambaye hakutaka jina lake lichorwe gazetini ambapo alisema wamechukizwa na picha hizo na wanajipanga kumpa talaka.
“Huu si ubinadamu hata kidogo, sasa kwa kuwa ameamua kumwaga mboga sisi tutamwaga ugali, dawa yake tunamuandalia mipango ya talaka ambapo tukimpata Demonte kwa njia yoyote na akabariki talaka, tunampa muda wowote,” alisema shemeji huyo huku akikiri kuwa hata wao hawajui Demonte yukoje kwa sasa baada ya kupoteza mawasiliano naye.

Picha za Tajiri la Mexico linalojihusisha na Biashara ya Unga (Coccaine)!

Written By Mike Ntobi on Wednesday, January 29, 2014 | 11:45 AM


A Mexican drug lord posted his pictures on Instagram and Twitter to show how cool and lavish his lifestyle was. Unfortunately social media is for everyone to see, including the authorities, and the Mexican Police were able to catch the drug lord and put him behind the bars.
Jose Rodrigo Arechiga Gamboa, otherwise known as 'El Chino Antrax,' was arrested at Amsterdam Airport. He is a suspect top enforcer for the powerful Sinaloa Cartel and is wanted for drug charges in Southern California.














Hizi Ndio sababu za Wabunifu wa kiume Duniani ni 'Mashoga'...!!

Written By Mike Ntobi on Monday, January 27, 2014 | 11:34 AM

Marc Jacobs

Marc Jacobs
Bila shaka umeshajiuliza sana kwanini wabunifu wengi wa nguo wa kiume duniani ni mashoga. Haya ndio majibu:
Kwanza, tasnia ya mitindo (fashion industry) kiutamaduni imekuwa ikiwakubali zaidi mashoga wanaojulikana wazi (openly gay men) tofauti na fani zingine. Hata leo, ni changamoto kubwa kwa shoga kufikia level ya kuwa CEO ama Mkurugenzi kuliko wanaume wa kawaida.
Tofauti ni kwamba shoga kwenye fashion anaweza kuheshimika na kuenziwa kwenye fani hiyo na kufanikiwa binafsi na kifedha bila kudhihakiwa kama ambavyo anaweza kujikuta akifanyiwa kwenye fani zingine kama upolisi, jeshi na kwenye michezo.

Mifano mizuri inaweza kuwa kwa manguli wa fashion duniani kama Valentino Garavani, Yves Saint Laurent, Perry Ellis, Karl Lagerfeld, Alexander McQueen, Gianni Versace, Alexander Wang, Giorgio Armani, Marc Jacobs (Louis Vuitton) Domenico Dolce na Stefano Gabbana, Tom Ford na wengine. Na hata kwa Tanzania wapo wengi wanaofahamika wazi.

karl-lagerfeld-photographe

Karl Lagerfeld
Japokuwa mambo yanabadilika na hasa kwa nchi za wenzetu na kukubalika kwa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, kumefanya mashoga nao wafanikiwe kwenye fani zinazotawaliwa na wanaume wa kawaida, lakini mifano ya dunia halisi inabaki michache na hasa tu kwenye majiji ama nchi ambazo mashoga na wasagaji wanapewa heshima sawa na wengine.

Dolce-Gabbana-13

Christian Dior na Cristobal Balenciaga
Pia kihistoria mashoga kwenye fashion walikuwa wakipewa kipaumbele zaidi kuliko wanawake. Ni Coco Chanel pekee ndio alikuwa miongoni mwa wanawake wachache waliofanikiwa kwenye kiwanda hicho kilichokuwa kikitawaliwa zaidi na mashoga Christian Dior na Cristobal Balenciaga.

dolce-and-gabbana

Dolce & Gabbana
Pili, inasemekana kuwa utamaduni wa ushoga huwapa nafasi watu hao uwezo wa ubunifu. Mashujaa kwenye jumuiya ya mashoga sio wachezaji wa soka ama wanajeshi- japo wapo. Lakini zaidi wapo kwenye muziki, uigizaji, utengezaji wa filamu, uandishi na sanaa zingine.
Hii ni kwasababu ya ukweli kwamba hizi ndio zilikuwa kazi ambazo mashoga waliweza kufanikiwa na kuendelea kuwa walivyo na kujivunia wanachokifanya. Uwezo wao wa ubinifu huongezeka na ile sense ya upekee ambayo mashoga huikuza ndani ya ulimwengu wa mapenzi ya jinsia mbili (heterosexual world).

1_(1)-7

Tom Ford
Pointi ya msingi: Upenzi wa mashoga katika urembo, utanashati hauwezi kuelezeka. Inasemekana kuwa mwanaume anayebuni nguo nzuri kwa mwanamke aidha hutaka kuwa na mwanamke ama hutaka kuwa mwanamke'.

Laana!! Binti wa miaka 16 anaswa Akijiuza nyakati za Usiku Akiwa na mtoto mgongoni..!!

Binti (kulia) aliyenaswa akijiuza akiwa na mwanae jijini  Mwanza.

Ama kweli shida haina aibu wala huruma! Binti wa miaka 16 aliyetajwa kwa jina la Mama K, amenaswa laivu akifanya shughuli haramu za uchangudoa akiwa na mwanaye mgongoni, akidai chanzo cha kufanya hivyo ni kutokana na shida inayoiandama familia yake.

Binti huyo alibambwa hivi karibuni akijiuza huku mgongoni akiwa na mwanaye wa mwaka mmoja katika Barabara ya Uhuru (kwenye taa za kuongozea magari), jijini hapa.
Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ambayo imetinga rasmi mkoani hapa ilinasa tukio hilo usiku wa manane ambapo ilifanikiwa kufanya mahojiano na Mama K aliyekuwa na wenzake wengi 
walio chini ya miaka 18.

Paparazi wa OFM akiwa kazini jijini Mwanza.


OFM ilichukua maelezo pamoja na picha za mnato huku wenzake wakitoka nduki baada ya kuona mwanga wa kamera.
Cha kushangaza, wakati akihojiwa na OFM, Mama K alidai kuwa haogopi  kupigwa picha kwa sababu alishanaswa na kuhojiwa runingani kuhusiana na ishu ya kujiuza hivyo siyo ishu kwake na wala haoni aibu.
Huku akiwa na mwanaye mgongoni, binti huyo alidai kuwa amekuwa akijiuza kutokana na ugumu wa maisha. 

OFM: Wewe unatokea maeneo gani na ulianza lini kujiuza? 
Mama K: Mimi ni mwenyeji wa Misungwi (wilaya), kwa hapa mjini naishi Mabatini. Sikumbuki nilianza lini lakini yote hii ni kutokana na ugumu wa maisha. 
OFM: Huyo mtoto mgongoni ni wa kwako? 
Mama K: Ndiyo ni mwanangu wa kumzaa, ana zaidi ya mwaka. Nilijifungua nikiwa na umri wa miaka 15. 
OFM: Baba wa mtoto yuko wapi? 
Mama K: Sijui. 
OFM: Ukipata mteja unamuweka wapi mtoto au unaenda kulala naye na mwanaume?
Mama K: (huku akiondoka) Nawaachia wenzangu.

Katika kujikusanyia data za kutosha, uchunguzi wa OFM uliogusa viunga mbalimbali jijini hapa ulibaini kuwa biashara hiyo haramu imeshika kasi ya ajabu ikihusisha vitoto vidogo kati ya umri wa miaka 12 hadi 16.
Kuhusu bei, tofauti na Dar ambako bei huwa ni ghali, jijini hapa vibinti hivyo vidogo hujiuza kwa kati ya shilingi elfu saba hadi kumi na tano kwa usiku mzima. Hakuna mambo ya 'short time'.
Katika kubainisha ukweli wa mambo kuhusiana na vitendo vya ukahaba ndani ya Jiji la Mwanza, OFM ilimtafuta meya wa jiji hilo ambapo simu yake ya mkononi haikupatikana hewani.

Akizungumzia na gazeti hili kuhusiana na ishu hiyo ya watoto wadogo kujihusisha na biashara hiyo haramu ya ngono, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo alikuwa na haya ya kusema:
"Sina taarifa yoyote kuhusiana na watoto hao wanaojiuza ndiyo nasikia kwako labda unipe muda niongee na uongozi wa chini nitalichukulia hatua mara moja.

Buffalo soldiers! Bull is saved by its friends while being EATEN by lions... which are sent flying through the air

Written By Mike Ntobi on Monday, December 16, 2013 | 3:50 PM


15/18
Flyin' lion! A lion blindsides a smaller buffalo as it emerges from bushes at the Mjejane Reserve in South Africa.


  • - The young buffalo was attacked by a lion at Mjejane Reserve, South Africa
  • - Amazingly all of the animals walked away without any injuries, except perhaps, some bruised egos.


  • All looked lost when this young and lone buffalo was attacked by two lions in a South African national park. 
    But the pair had not bargained on the buffalo's friends coming to his rescue, and moments later they were tossed several feet in the air before being chased away. 
    The dramatic scene was captured on camera in the Mjejane Reserve on the border of the Kruger Park.

    Scroll down for video:
    17/18 A large adult buffalo attacks a young lion to protect a young buffalo,
    Two on one: The hungry cat doesn't factor in the first buffalo's larger friend following behind and gets more than it bargained for.

     1/18
    Under attack: All looked lost when this young and lone buffalo was attacked by two lions in a South African national park.

     2/18
    Lone: The buffalo had become separated from the herd and become the prey for the two hungry lions.

     3/18
    Vicious: The lion sinks his teeth and claws into the buffalo as it stands still after becoming lost.

    4/18
    Caught: The dramatic scene was captured on camera in the Mjejane Reserve on the border of the Kruger Park.

    It was witnessed by Oliver Matheson, 16, and his two friends Yaseen Majal, 17 and Alex Raubenheimer, 17.
    They had joined Oliver's father Ian, 52, on an early morning game drive and didn't expect to witness a 'kill', let alone a battle between a hungry lion and a buffalo that had other ideas.
      'We had seen the two young lions on the prowl and were already quite excited to witness nature in action, but nothing could have prepared us for what we saw next', said Oliver.   

      The two young lions had been silently stalking the buffalo for about 45 minutes before the incident occurred. 
      The two young lions had been silently stalking the buffalo for about 45 minutes before the incident occurred. 

       5/18
      Unfold: The attack was witnessed by Oliver Matheson, 16, and his two friends Yaseen Majal, 17 and Alex Raubenheimer, 17.

      6/18
      Early morning: The teens had joined Oliver's father Ian, 52, on an early morning game drive and didn't expect to witness a 'kill', let alone a battle between a hungry lion and a buffalo that had other ideas.

      7/18
      Suspense: 'We had seen the two young lions on the prowl and were already quite excited to witness nature in action, but nothing could have prepared us for what we saw next', said Oliver.

       8/18
      Determined: The two young lions had been silently stalking the buffalo for about 45 minutes before the incident occurred.

      In a flash they pounced and began to take down their prey. 
      The buffalo put up a brave fight, but ultimately looked destined to succumb to the ruthless attack.   
      'It looked like it was game over, he really looked finished', said Oliver.
      'Then we saw two of the original herd coming back to investigate and we didn't really know what to expect'.

       9/18
      Plan: In a flash they pounced and began to take down their prey. The buffalo put up a brave fight, but ultimately looked destined to succumb to the ruthless attack.

      As the young buffalo fell to the ground, a large bull from the herd sized up the situation, seized his opportunity and attacked the young lion. 
      'It was insane, he flipped the lion about 5 metres into the air. I had never seen anything like it,' said Oliver.
      'We visit the park two to three times a year,' said Oliver's father, Ian.
      'In all the years we have been coming to the reserve, we have never seen anything close to what we saw that morning'. 
      'We really felt privileged to have witnessed such a rare occurrence'.
      Amazingly all of the animals walked away without any injuries, except perhaps, some bruised egos. 

       12/18
      Shocked: 'We visit the park two to three times a year,' said Oliver's father, Ian. 'In all the years we have been coming to the reserve, we have never seen anything close to what we saw that morning'.

       14/18
      Desperate: The lion sinks his teeth deeper into the buffalo as it frantically tries to escape with its life.

      18
      Defend: As the young buffalo fell to the ground, a large bull from the herd sized up the situation, seized his opportunity and attacked the young lion.

      15/18
      Flying high: 'It was insane, he flipped the lion about 5 metres into the air. I had never seen anything like it,' said Oliver.

      17/18 A large adult buffalo attacks a young lion to protect a young buffalo,
      Animal kingdom rules: Amazingly all of the animals walked away without any injuries, except perhaps, some bruised egos

      Exclusive: K. Michelle Finally Answers The Question ‘Butt Injections Or Implants’?[Photo/Video]

      Written By Mike Ntobi on Monday, November 25, 2013 | 12:36 AM

      k-michelle-bikini-1

      Lets Get Laced And Think Pink Rocks Fundraiser

      Everyone is talking about K. Michelleher curves, and her rear that just keeps growing. Is it butt injections or implants? Well the reality star called to check in with The Power Morning Crews Own CityMisty Jordan.  In this exclusive interview she finally reveals how her booty got a boost.  She also dishes on the behind the scenes antics of Love & Hip Hop Atlanta.
      Listen to what she had to say here

      K. Michelle Addresses Camel Toe Controversy [PHOTO/VIDEO]

      Written By Mike Ntobi on Sunday, November 24, 2013 | 11:50 PM




      Singer K.Michelle sends social media into fits on a regular basis with her titillating Instagram photos, but an outfit she wore during a recent show in Chicago had some fans thinking Christmas came early.
      While strutting through a rendition of her hit “V.S.O.P.” at The Shrine, Michelle’s cutaway catsuit created an optical illusion under the lights giving some the impression that the voluptuous singer was on stage half nude. The reality is that she was quite clothed, but the outfit was very formfitting and gave an outline of her secret garden that had Adams and Eves thinking they’d found the Holy Grail. 
      k-michelle-shrine
      When word spread of the image K. Michelle took to her Twitter account to blast the misinterpretation of what she was wearing.
      “Y’all tweeting about a photo shopped picture of my hot pocket. U broke bums should ask somebody to photo shop your pockets 2make them fatter,” the “Rebellious Soul” singer wrote (via Twitter) after she became a trending topic late Saturday night. “We crave a different kind of buzz.”
      Y'all tweeting about a photo shopped picture of my hot pocket. U broke bums should ask somebody to photo shop your pockets 2make them fatter
      — K.Michelle (@kmichelle)November 17, 2013



      Watch our interview with K. Michelle where she talks about some of her risqué photos:

      While we’re not sure the image was manipulated via Photoshop, it was certainly misrepresented in some places as her being nude on stage, when she was not. Watch the video of the performance below where it’s pretty clear that she is dressed, but blessed. 








      Get our toolbar!Get our toolbar!
      • Alexaporn - XXX (+18) Search!Alexaporn - XXX (+18) Search!
       
      Sell Your Products At TripleClicks!Share Links Earn Money!
      cafepress.com/nicemike
      Sale Online!
      Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

      Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
      Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
      Proudly powered by Blogger