January 2014 | MIKENTOBI MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
[ New Posts ] : Habari Mpya Zote - HAPA CHINI!!!
Labels :

Picha za Tajiri la Mexico linalojihusisha na Biashara ya Unga (Coccaine)!

Written By Mike Ntobi on Wednesday, January 29, 2014 | 11:45 AM


A Mexican drug lord posted his pictures on Instagram and Twitter to show how cool and lavish his lifestyle was. Unfortunately social media is for everyone to see, including the authorities, and the Mexican Police were able to catch the drug lord and put him behind the bars.
Jose Rodrigo Arechiga Gamboa, otherwise known as 'El Chino Antrax,' was arrested at Amsterdam Airport. He is a suspect top enforcer for the powerful Sinaloa Cartel and is wanted for drug charges in Southern California.














15 Shocking Symptoms Of HIV

Written By Mike Ntobi on Tuesday, January 28, 2014 | 3:19 PM

A woman holding a thermometer while saying ahhh

Within a month or two of HIV entering the body, 40% to 90% of people experience flulike symptoms known as acute retroviral syndrome (ARS). 
But sometimes HIV symptoms don’t appear for years, sometimes even a decade, after infection. 

“In the early stages of HIV infection, the most common symptoms are none,” says Michael Horberg, MD, director of HIV/AIDS for Kaiser Permanente, in Oakland, Calif. One in five people in the United States with HIV doesn’t know they have it, which is why it’s so important to get tested, especially if you have unprotected sex with more than one partner or use intravenous drugs. 

Here are some signs that you may be HIV-positive. 

Fever 
One of the first signs of ARS can be a mild fever, up to about 102 degrees F. The fever, if it occurs at all, is often accompanied by other usually mild symptoms, such as fatigue, swollen lymph glands, and a sore throat. 
“At this point the virus is moving into the blood stream and starting to replicate in large numbers,” says Carlos Malvestutto, MD, instructor of infectious diseases and immunology in the department of medicine at NYU School of Medicine in New York City. “As that happens, there is an inflammatory reaction by the immune system.” 

Fatigue 
The inflammatory response generated by your besieged immune system also can cause you to feel tired and lethargic. Fatigue can be both an early and later sign of HIV.

Ron, 54, a public relations executive in the Midwest, started to worry about his health when he suddenly got winded just walking. “Everything I did, I got out of breath,” he says. “Before that I had been walking three miles a day.”

Ron had tested HIV positive 25 years before feeling so tired; fatigue during acute, or newly contracted, HIV might not be so obvious. 

Achy Muscles & Joint Pain 
ARS is often mistaken for the flu, mononucleosis, or another viral infection, even syphilis or hepatitis.

That’s not surprising: Many of the symptoms are the same, including pain in the joints and muscles and swollen lymph glands.

Lymph nodes are part of your body’s immune system and tend to get inflamed when there’s an infection. Many of them are located in your armpit, groin, and neck. 

Sore Throat & Headache 
As with other symptoms, sore throat and headache can often be recognized as ARS only in context, Dr. Horberg says.

If you’ve engaged recently in high-risk behavior, an HIV test is a good idea. Get tested for your own sake and for others: HIV is most infectious in the earliest stage.

Keep in mind that the body hasn’t produced antibodies to HIV yet so an antibody test may not pick it up. (It can take a few weeks to a few monthsfor HIV antibodies to show in a blood test). Investigate other test options such as one that detects viral RNA, typically within nine days of infection. 

Skin Rashes 
Skin rashes can occur early or late in the course of HIV/AIDS.

For Ron, this was another sign that he might not have run-of-the-mill allergies or a cold.

”They were like boils, with some itchy pink areas on my arms,” Ron says. The rashes can also appear on the trunk of the body. “If [the rashes] aren’t easily explained or easily treated, you should think about having an HIV test,” Dr. Horberg says. 

Nausea, Vomiting & Diarrhea 
Anywhere from 30% to 60% of people have short-term nausea, vomiting, or diarrhea in the early stages of HIV, Dr. Malvestutto says.

These symptoms can also appear as a result of antiretroviral therapy and later in the infection, usually as the result of an opportunistic infection.

”Diarrhea that is unremitting and not responding at all to usual therapy might be an indication,” Dr. Horberg says. Or symptoms may be caused by an organism not usually seen in people with healthy immune systems, he adds. 

Weight Loss 
Once called “AIDS wasting,” weight loss is a sign of more advanced illness and could be due in part to severe diarrhea.

”If you’re already losing weight, that means the immune system is usually fairly depleted,” Dr. Malvestutto says. “This is the patient who has lost a lot of weight even if they continue to eat as much as possible. This is late presentation. We still see a lot of these.” It has become less common, however, thanks to antiretroviral therapy. 
A person is considered to have wasting syndrome if they lose 10% or more of their body weight and have had diarrhea or weakness and fever for more than 30 days, according to the U.S. Department of Health and Human Services. 

Dry Cough 
Have a bad cough that Benadryl, antibiotics, and inhalers don’t seem to fix? 

This symptom—an “insidious cough that could be going on for weeks that doesn’t seem to resolve,” Dr. Malvestutto says—is typical in very ill HIV patients. 

Night Sweats 
About half of people get night sweats during the early stages of HIV infection, Dr. Malvestutto says.

These can be even more common later in infection and aren’t related to exercise or the temperature of the room.

 Similar to the hot flashes that menopausal women suffer, they’re also hard to dismiss, given that they soak your bedclothes and sheets. 

Nail Changes 
Another sign of late HIV infection are nail changes, such as clubbing (thickening and curving of the nails), splitting of the nails, or discoloration (black or brown lines going either vertically or horizontally).

Often this is due to a fungal infection, such as candida. “Patients with depleted immune systems will be more susceptible to fungal infections,” Dr. Malvestutto says. 

Yeast Infections 
Another fungal infection that’s common in later stages is thrush, a mouth infection caused by Candida, a type of yeast.

”It’s a very common fungus and the one that causes yeast infections in women,” Dr. Malvestutto says. “They tend to appear in the mouth or esophagus, making it difficult to swallow.”

Ron woke up one day to find white patches on his tongue. He had thrush. For him, “It was not bothersome other than I didn’t like having it.” The infection was hard to get rid of, but finally cleared up after Ron started taking drugs to combat HIV. 

Confusion or Difficulty Concentrating 
Cognitive problems could be a sign of HIV-related dementia, which usually occurs late in the course of the disease.

In addition to confusion and difficulty concentrating, AIDS-related dementia might also involve memory problems and behavioral issues such as anger or irritability.

It may even include motor changes: becoming clumsy, lack of coordination, and problems with tasks requiring fine motor skills such as writing by hand. 

Cold Sores or Genital Herpes 
Cold sores (oral herpes) and genital herpes can be a sign of both ARS and late-stage HIV infection.

 Having herpes can also be a risk factor for contracting HIV. This is because genital herpes can cause ulcers that make it easier for HIV to enter the body during sex. And people who have HIV tend to have more severe herpes outbreaks more often because HIV weakens the immune system. 

Tingling & Weakness 
Late HIV can also cause numbness and tingling in the hands and feet. This is called peripheral neuropathy, which also occurs in people with uncontrolled diabetes.

”This is when the nerves are actually damaged,” Dr. Malvestutto says. These symptoms can be treated with over-the-counter pain relievers and antiseizure medicines such as Neurontin (gabapentin). 

Menstrual Irregularities 
Advanced HIV disease appears to increase the risk of having menstrual irregularities, such as fewer and lighter periods.

These changes, however, probably have more to do with the weight loss and poor health of women with late-stage infection rather than the infection itself.

Infection with HIV also has been associated with earlier age of menopause (47 to 48 years for infected women compared to 49 to 51 years for uninfected women).

10 Old-School Tips For A Happy Marriage


(mikentobi.blogspot.com) — Would you take relationship tips from your grandfather or your mom to make your marriage happier? Modern married couples just might do well to emulate some of the successful strategies of their happily married parents and grandparents — from sleeping in separate beds to maintaining same-sex friends.
Could “old-fashioned” practices offer greater longevity, stability, and pleasure to your marriage? Quite possibly. Here are 10 tried-and-true strategies you can borrow from your parents’ marriage to enhance your own.
1. Don’t Go to Bed Angry
Even if you can’t resolve a disagreement before you hit the sheets, you can agree to let the anger go for the night. Remind each other how lucky you are — even as you disagree — to have each other to disagree with.
2. Give Compliments
To give a compliment, you’ve got to pay attention — really notice something about someone. If it’s been a while since you’ve doled out flattering praise, try it. It costs nothing to say, “You look good,” “You did a great job,” or “I like your shirt.” Yet compliments can really reassure and pump up your spouse.


3. Hold Hands

Back in our parents’ time, hand-holding and discreet pecks on the cheek were the tasteful, chaste displays of affection.
Although anything goes these days, its encouraged that couples simply hold hands in public. It somehow affirms to everyone your undying affection and love for each other, and it shows everyone that you are proud to be with each other and you want everyone to know it. There’s an actual electrical connection that passes between us when we touch. You can use that electrical connection to provide juice in your marriage. Give each other little pats and gentle touches and hold hands frequently when you’re walking or driving and you’ll keep the energy — and the sweetness — flowing between you.
4. Cut Back on Complaints

Yesteryear’s couples had a comic reputation for nagging — yet, in truth, many partners often held their tongues. A stumbling block in modern marriages is a constant soundtrack of discord. Current generations think that closeness comes from sharing everything, letting each other know how miserable you are. But it doesn’t motivate me to treat you better. Relaying every annoyance is a bad idea. Instead, pick your battles. “Not everything needs to be addressed.”
5. Try Thoughtful Little Acts
Back in the day, with fewer stresses, limited technology and less multitasking, couples were more “present” in their relationships. The presence of little, daily thoughtful acts showed caring and appreciation for one another. Things like making breakfast for your spouse or packing their lunch, bringing them coffee in the morning or a drink or glass of wine at the end of the day, warming up their car or putting their keys and other personal effects on the hall table, ready to go. Sustaining a happy relationship requires careful thought, a generous spirit and hard work.
There’s a lot of wisdom to be gained from our parents or grandparents.They had companionship marriage, but we’ve raised the bar — we want romance, great sex, and more intimacy. We can reconcile these two approaches. With some of the gentleness and graciousness of previous generations with the technology and savvy of today’s marriages.


6. Maintain Same-Sex Friends — and Interests


Women, don’t try to regulate your husband’s pleasures and don’t be jealous if they don’t include you. It’s only been during the past couple of decades that couples expected to share a bulk of their free time together. Retro couples didn’t necessarily want to participate in each others hobbies. Couples should keep close ties with their same-sex friends throughout marriage. This will give you both time to cultivate your own interests, and not be totally reliant on each other for their entertainment.
7. Look Sharp
You can inspire romance by dressing up for the occasion. “With our hectic schedules, it’s tempting to resort to sweatpants all weekend or immediately changing into a ratty T-shirt after work. Instead, dress up the next time you and your spouse have dinner or plan a night out. Wearing a beautiful dress or a button-down shirt and slacks will be unexpected and make your partner feel special that you took the extra time to look nice. Taking time with your appearance inspires romance and shows your partner you care. Never let yourself go. Look your best as often as possible — it will make your partner feel loved and proud.
8. Put Pen to Paper
Back before cell phones and instant messaging, people wrote letters of affection to each other, often waiting weeks to receive them. Love letters exchanged between a couple can strengthen their relationship by helping them to connect to one another on a deeper level. These letters may also become treasured keepsakes that can be revisited and experienced anew each time they are read. You’ll reap bonus points if you hand write it on beautiful paper and enclose a cherished memento such as a photograph or ticket stub from a movie you saw together.
9. Reinstate Civilit
“Please,” “thank you,” “pardon me” and “may I” are phrases that seemed to have all but disappeared from present-day vocabularies, especially with our loved ones. You should extend your partner the same courtesy you would a stranger. When speaking to your spouse, don’t be rude, be respectful. Use a combination of old-school civility and modern frankness. Additionally, try more sweetness and tenderness by saying things more lovingly. Politeness is like a lubricant for your daily interactions; it makes everything go more smoothly.
Husbands, show her that chivalry is not dead: Pull out her chair, open the door for her, help her over a puddle, give her your coat when it is cold outside, help her to put on her coat. This act of affection shows that she is important and there is a level of respect for her.
10. Have Couples Fun
Cocktail hour and formal anniversary celebrations with like-minded couples were common activities shared by our parents and their friends. It’s fun and a great way to be social with others and playful with one another.
It is important to identify friends who are healthy additions to your social circle. Your goal is to become close with other couples with similar standards and interests who have positive attitudes about marriage and family life. Gravitate toward fun couples who make you feel supported and enhance your active, healthy lifestyle. Friends like these are good for your marriage and overall well-being.

Wafuasi wa CHADEMA waandamana wakimshinikiza Godbless Lema ajiuzulu kwa kuwa jimbo limemshinda

Written By Mike Ntobi on Monday, January 27, 2014 | 11:42 AM


Wafuasi wa CHADEMA jijini Arusha walioambatana na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Monduli Bw. Amani Salenga wakionyesha bango hilo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani)..

Amani Salenga akiwa na kundi kubwa la vijana walikutana na waandishi wa habari na kudai kuwa Mbunge wa Arusha, Godbless Lema ndo chanzo cha vurugu ndani ya CHADEMA kwa kuanzisha kikundi cha vijana kinachohatarisha maisha ya wale wanaopinga na mawazo ya Lema katika utendaji wa chama mkoani Arusha.
 
Amani alisisitiza kuwa kwa kuwa CHADEMA  imeamua kufanya maamuzi kwa maslahi ya watu binafsi hususani swala la viongozi waliovuuliwa vyeo vyao(zitto),basi kila mwanachadema  anatakiwa atambue kuwa ndani ya chama hicho kuna pande mbili , CHADEMA ASILI na CHADEMA FAMILY.


Vijana hao waliokuwa na mabango mbalimbali wamelaani  hatua  ya  chama  chao  kuwafukuza  viongozi  wao  pasipokufuata  katiba  ya  chama  na kusisitiza kuwa Lema ndo tatizo ndani ya Chadema.

JK amuweka kitanzini Profesa Kapuya


RAIS Jakaya Kikwete ameviagiza vyombo vya dola kuhakikisha vinamkamata mtu yeyote bila kujali cheo, atakayebainika kumbaka au kumuoa mwanafunzi wa shule. 
Ametoa kauli hiyo huku aliyekuwa waziri wa wizara tofauti katika awamu mbalimbali za uongozi, Profesa Juma Kapuya, akiandamwa na tuhuma za kumbaka na kutishia kumuua binti, mwanafunzi mwenye umri wa miaka 16.
Ingawa Rais Kikwete hakutaja jina, lakini ni dhahiri kuwa kauli hiyo inamgusa pia Profesa Kapuya, Mbunge wa Urambo Magharibi (CCM).
Akizungumza kwa nyakati tofauti kwenye mikutano ya hadhara kwenye wilaya za Itilima, Meatu na Maswa mkoani Simiyu, Rais Kikwete alisema mtu anayefanya mapenzi na wanafunzi lazima akamatwe, ahojiwe na kufunguliwa mashitaka ya ubakaji na si vinginevyo.
"Kuna watu wanafanya mapenzi hadi na wanafunzi wakati sote tunajua ukimwi upo na hauna dawa na unaua. Kwa hiyo kila mmoja wetu awe makini kujikinga nao na tuepuke kuwaambukiza wengine," alisisitiza Rais Kikwete.
Wakati Rais Kikwete akisisitiza wahalifu wa makosa ya kubaka na kuoa wanafunzi wachukuliwe hatua, polisi jijini Dar es Salaam wamekuwa wakisuasua kumchukulia hatua Profesa Kapuya licha ya binti anayedaiwa kumbaka, kufungua jalada namba OB/RB/21124/13 katika kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Dar es Salaam, akidai kutishiwa kuuawa na mbunge huyo.
Kauli ya Rais Kikwete imeonyesha dhahiri kukerwa na moja ya ujumbe mfupi wa maneno wa simu ya mkononi kutoka kwenye simu inayodaiwa kumilikiwa na Profesa Kapuya kwenda kwa binti aliyebakwa, ambapo mbunge huyo alijigamba kwamba serikali haiwezi kumfanya chochote.
Ujumbe huo unasomeka hivi: "Mkiuawa itakuwa vizuri…itawapunguzia gharama za kuishi, usitake kugombana na serikali mtoto mdogo kama wewe, sisi ndiyo wenye nchi yetu, mwenye hilo gazeti ni Mbowe, sasa mwambieni nyumba ya kuishi si mmemuingizia hela leo?
 Mnatumika tu bure watu wanaingiza hela nyingi, ila mmenitibua lazima niwaue, wiki hii haitaisha, nitapiga kambi kote, jana si wamekuficha, tuone utalindwa milele, maana washatengeneza hela, lazima mvae sanda tu, hilo sio ombi ni wajibu wenu, mnajitia na nyie mafia watoto siyo, watoto wetu wanauza unga nani anawakamata? Nani atapingana  nasi."
Habari kutoka Ikulu ya Rais Kikwete zinaeleza kuwa kiongozi huyo wa nchi amekerwa na kauli ya mbunge huyo wa Urambo Magharibi kwamba serikali haiwezi kumfanya jambo lolote.
Ni kutokana na kauli hiyo, mtoa taarifa wetu alisema rais aliagiza vyombo vya dola kufuatilia kwa karibu sakata hilo na kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake.
Pamoja na msimamo wa Rais Kikwete na binti anayedaiwa kubakwa kuripoti polisi, Profesa Kapuya alifanikiwa kusafiri nje ya nchi huku polisi wakimshuhudia bila kumtia mbaroni.
Akiwa nje ya nchi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alikaririwa mara kadhaa akijigamba kuwa polisi inamsaka mbunge huyo na itamtia mbaroni mahala popote alipo.
Hata hivyo, Profesa Kapuya alirejea nchini juzi huku polisi wakimshuhudia bila kuchufkua hatua zozote.
Mwanafunzi huyo anadai kubakwa na Profesa Kapuya kwenye moja ya hoteli ya kitalii iliyoko jijini Dar es Salaam mwaka 2011, na kurudia tena kitendo hicho ndani ya ofisi yake katika Jengo la Biashara Complex lililoko Mwananyamala Juni 3, 2012 alipomuita kwenda kuchukua ada.

Hizi Ndio sababu za Wabunifu wa kiume Duniani ni 'Mashoga'...!!

Marc Jacobs

Marc Jacobs
Bila shaka umeshajiuliza sana kwanini wabunifu wengi wa nguo wa kiume duniani ni mashoga. Haya ndio majibu:
Kwanza, tasnia ya mitindo (fashion industry) kiutamaduni imekuwa ikiwakubali zaidi mashoga wanaojulikana wazi (openly gay men) tofauti na fani zingine. Hata leo, ni changamoto kubwa kwa shoga kufikia level ya kuwa CEO ama Mkurugenzi kuliko wanaume wa kawaida.
Tofauti ni kwamba shoga kwenye fashion anaweza kuheshimika na kuenziwa kwenye fani hiyo na kufanikiwa binafsi na kifedha bila kudhihakiwa kama ambavyo anaweza kujikuta akifanyiwa kwenye fani zingine kama upolisi, jeshi na kwenye michezo.

Mifano mizuri inaweza kuwa kwa manguli wa fashion duniani kama Valentino Garavani, Yves Saint Laurent, Perry Ellis, Karl Lagerfeld, Alexander McQueen, Gianni Versace, Alexander Wang, Giorgio Armani, Marc Jacobs (Louis Vuitton) Domenico Dolce na Stefano Gabbana, Tom Ford na wengine. Na hata kwa Tanzania wapo wengi wanaofahamika wazi.

karl-lagerfeld-photographe

Karl Lagerfeld
Japokuwa mambo yanabadilika na hasa kwa nchi za wenzetu na kukubalika kwa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, kumefanya mashoga nao wafanikiwe kwenye fani zinazotawaliwa na wanaume wa kawaida, lakini mifano ya dunia halisi inabaki michache na hasa tu kwenye majiji ama nchi ambazo mashoga na wasagaji wanapewa heshima sawa na wengine.

Dolce-Gabbana-13

Christian Dior na Cristobal Balenciaga
Pia kihistoria mashoga kwenye fashion walikuwa wakipewa kipaumbele zaidi kuliko wanawake. Ni Coco Chanel pekee ndio alikuwa miongoni mwa wanawake wachache waliofanikiwa kwenye kiwanda hicho kilichokuwa kikitawaliwa zaidi na mashoga Christian Dior na Cristobal Balenciaga.

dolce-and-gabbana

Dolce & Gabbana
Pili, inasemekana kuwa utamaduni wa ushoga huwapa nafasi watu hao uwezo wa ubunifu. Mashujaa kwenye jumuiya ya mashoga sio wachezaji wa soka ama wanajeshi- japo wapo. Lakini zaidi wapo kwenye muziki, uigizaji, utengezaji wa filamu, uandishi na sanaa zingine.
Hii ni kwasababu ya ukweli kwamba hizi ndio zilikuwa kazi ambazo mashoga waliweza kufanikiwa na kuendelea kuwa walivyo na kujivunia wanachokifanya. Uwezo wao wa ubinifu huongezeka na ile sense ya upekee ambayo mashoga huikuza ndani ya ulimwengu wa mapenzi ya jinsia mbili (heterosexual world).

1_(1)-7

Tom Ford
Pointi ya msingi: Upenzi wa mashoga katika urembo, utanashati hauwezi kuelezeka. Inasemekana kuwa mwanaume anayebuni nguo nzuri kwa mwanamke aidha hutaka kuwa na mwanamke ama hutaka kuwa mwanamke'.

Laana!! Binti wa miaka 16 anaswa Akijiuza nyakati za Usiku Akiwa na mtoto mgongoni..!!

Binti (kulia) aliyenaswa akijiuza akiwa na mwanae jijini  Mwanza.

Ama kweli shida haina aibu wala huruma! Binti wa miaka 16 aliyetajwa kwa jina la Mama K, amenaswa laivu akifanya shughuli haramu za uchangudoa akiwa na mwanaye mgongoni, akidai chanzo cha kufanya hivyo ni kutokana na shida inayoiandama familia yake.

Binti huyo alibambwa hivi karibuni akijiuza huku mgongoni akiwa na mwanaye wa mwaka mmoja katika Barabara ya Uhuru (kwenye taa za kuongozea magari), jijini hapa.
Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ambayo imetinga rasmi mkoani hapa ilinasa tukio hilo usiku wa manane ambapo ilifanikiwa kufanya mahojiano na Mama K aliyekuwa na wenzake wengi 
walio chini ya miaka 18.

Paparazi wa OFM akiwa kazini jijini Mwanza.


OFM ilichukua maelezo pamoja na picha za mnato huku wenzake wakitoka nduki baada ya kuona mwanga wa kamera.
Cha kushangaza, wakati akihojiwa na OFM, Mama K alidai kuwa haogopi  kupigwa picha kwa sababu alishanaswa na kuhojiwa runingani kuhusiana na ishu ya kujiuza hivyo siyo ishu kwake na wala haoni aibu.
Huku akiwa na mwanaye mgongoni, binti huyo alidai kuwa amekuwa akijiuza kutokana na ugumu wa maisha. 

OFM: Wewe unatokea maeneo gani na ulianza lini kujiuza? 
Mama K: Mimi ni mwenyeji wa Misungwi (wilaya), kwa hapa mjini naishi Mabatini. Sikumbuki nilianza lini lakini yote hii ni kutokana na ugumu wa maisha. 
OFM: Huyo mtoto mgongoni ni wa kwako? 
Mama K: Ndiyo ni mwanangu wa kumzaa, ana zaidi ya mwaka. Nilijifungua nikiwa na umri wa miaka 15. 
OFM: Baba wa mtoto yuko wapi? 
Mama K: Sijui. 
OFM: Ukipata mteja unamuweka wapi mtoto au unaenda kulala naye na mwanaume?
Mama K: (huku akiondoka) Nawaachia wenzangu.

Katika kujikusanyia data za kutosha, uchunguzi wa OFM uliogusa viunga mbalimbali jijini hapa ulibaini kuwa biashara hiyo haramu imeshika kasi ya ajabu ikihusisha vitoto vidogo kati ya umri wa miaka 12 hadi 16.
Kuhusu bei, tofauti na Dar ambako bei huwa ni ghali, jijini hapa vibinti hivyo vidogo hujiuza kwa kati ya shilingi elfu saba hadi kumi na tano kwa usiku mzima. Hakuna mambo ya 'short time'.
Katika kubainisha ukweli wa mambo kuhusiana na vitendo vya ukahaba ndani ya Jiji la Mwanza, OFM ilimtafuta meya wa jiji hilo ambapo simu yake ya mkononi haikupatikana hewani.

Akizungumzia na gazeti hili kuhusiana na ishu hiyo ya watoto wadogo kujihusisha na biashara hiyo haramu ya ngono, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo alikuwa na haya ya kusema:
"Sina taarifa yoyote kuhusiana na watoto hao wanaojiuza ndiyo nasikia kwako labda unipe muda niongee na uongozi wa chini nitalichukulia hatua mara moja.

"Siku Wanawake wakijitambua, Umaarufu wa Diamond MWISHO"....Baby Madaha


MSANII filamu na muziki wa kizazi kipya wa Tanzania Baby Joseph Madaha maarufu kwa jina la (Baby Madaha) amesema kwamba msanii mwenzake wa muziki nchini,Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinumz si msanii bali ni mfanyabiashara.

Madaha amesema kwamba Diamond si mwanamuziki na kamwe huwezi kumlinganisha na msanii kama Barnaba Boy, anayefanya muziki kama sanaa na kazi kulingana na kipaji chake na kwamba Diamond si msanii wa muziki bali ni msanii ngono anayefanya biashara ya muziki kupitia mapenzi. 

Baby madaha ambaye hivi sasa yuko nchini Kenya kwa shuguli za muziki amesema kwamba, Diamond hajui kuimba na ndiyo maana amekuwa msanii wa matukio huku nyota yake ikiegemea kwenye mapenzi na wasichana wenye majina makubwa hususn wasanii.

Akizungumza na Mwanahabari katika mahojiano maalum leo baby Madaha alisema kwamba, "Binafsi niliposikia kwamba Diamond anaumiza kichwa kunasa penzi la msanii Elizabeth Michael maarufu kwa jina la (Lulu) sikushangaa hata kidogo. kwa sababu nilitambua kwamba soko lake la muziki limeanza kushuka hivyo lazima atafute eneo lingine la kujiimarisha kibiashara, ili jina lake liendelee kuwika".

"Siku wanawake maarufu nchini Tanzania watakapo jitambua na kuacha kulewa penzi la Diamond ndiyo itakayokuwa mwisho wa maisha yake kimuziki,kwa sababu hatakuwa na jipya na hivyo soko lake litaanza kuporomoka"alifafanua Baby Madaha.

Taarifa ya CHADEMA: Ufafanuzi kuhusu tamko la Ndugu A.O. Chitanda



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA YA NDUGU A.O. CHITANDA


Kutokana na kuwepo kwa taarifa ya Ndugu A.O. Chitanda, huku pia waandishi wa habari wakitaka kujua na kupata ukweli kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA, tunapenda kutoa ufafanuzi mfupi;

Kwanza suala la maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwavua uongozi ndani ya chama, Ndugu Zitto Kabwe na Dkt. Kitila Mkumbo, mjadala wake kwa upande wa chama umeshafungwa, huku taratibu za kikatiba za ndani ya chama zikiendelea.

Pili suala la restructuring ya Makao Makuu ya Chama. Chitanda ametoa taarifa akiwataja wakurugenzi wafuatao, kuwa ni 
wapya;
  1. Mkurugenzi wa Oganaizesheni Mhe. Singo Kigaila Benson.
  2. Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya ndani Mhe. John Mnyika (Mb).
  3. Mkurugenzi wa Fedha na Uwekezaji Mhe. Anthony Komu.
  4. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashuri Mhe. John Mrema.
  5. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Mhe. Wilfred Lwakatale.


Wakurugenzi wote aliowataja si wapya. Mkurugenzi pekee ambaye uteuzi wake ni mpya na umefanyika hivi karibuni na kuthibitishwa ni Mwanasheria Peter Kibatala, atakayesimamia Kurugenzi ya Sheria na Haki za Binadamu.

Kama ni suala la kuangalia mtu anatokea wapi (ambalo halijawahi wala haliwezi kuwa moja ya vigezo), ili kuonesha ukweli na kubainisha uongo wa watu wanaojaribu kufanya kazi ya CCM wakisema wao ni wanCHADEMA, kwa kutumia propaganda zile zile na kuzifanya kuwa ni kete zao za kisiasa, tunaweza kutaja maeneo ya wanakotoka au asili yao kama ifuatavyo;

  • Mkurugenzi wa Fedha na Uwekezaji, Antony Komu- Kilimanjaro.
  • Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama, Wilfred Lwakatare- Kagera.
  • Mkurugenzi wa Mafunzo na Oganaizesheni, Benson Kigaila- Dodoma.
  • Mkurugenzi wa Habari na Uenezi, John John Mnyika- Mwanza
  • Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri, John Mrema- Kilimanjaro.
  • Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu, Peter Kibatala- Morogoro.


Hadi sasa uteuzi wa kurugenzi za Makao Makuu ya CHADEMA haujakamilika. Bado kuna nafasi zinazotakiwa kujazwa kwa kufuata taratibu za chama.

Hii ni kwa sababu restructuring, inayofanyika ndani ya chama, hadi sasa inaendelea katika ngazi ya Makao Makuu na kanda, kisha itaendelea kwa ngazi za mikoa, wilaya, majimbo, kata, kijiji na hatimaye kitongoji.

Katika restructuring hiyo ya nafasi za uteuzi, inayoendelea sasa ambayo inakwenda hatua kwa hatua, hadi kuwa na makatibu wa kuajiriwa ngazi ya chini ya chama, chama kinazingatia uwezo, uadilifu na utayari wa mtu katika kutoa utumishi bora kwa wanaCHADEMA na Watanzania wote katika nafasi husika.

Suala la maslahi ya watumishi wa CHADEMA ni utaratibu wa chama ambao unajadiliwa, kufikiwa uamuzi na kisha kuridhiwa kwenye vikao vya chama, kama ilivyofanyika kwenye kikao cha Kamati Kuu kilichoketi karibuni.

Katika suala hili la maslahi ya watumishi wanaojitolea Makao Makuu ya CHADEMA ambayo si siri, Ndugu Chitanda amesema uongo mkubwa. Kwanza si kweli kuwa Ofisa Mwandamizi anaweza kulipwa posho kubwa kuliko Mkurugenzi wa kurugenzi husika.

Ndugu huyo anadhihirisha uongo huo yeye mwenyewe kwa kuandika hivi; "800,000/= za awali na sasa itakuwa ni kuanzia Tshs. 1,500,000-2,500,000/= kwa Mkurugenzi na kutoka Tshs. 6,800,000/= kwa Afisa Mwandamizi na sasa ni Tshs. 1,000,000-1,500,000/=".

Pia si kweli kuwa kila mtumishi anayejitolea Makao Makuu analipwa. Mathalani, wakurugenzi wenye nafasi za ubunge, hawalipwi hata shilingi moja kwa kazi zote wanazokitumikia chama na Watanzania kwa ujumla.

Kwa maelezo hayo ya kutengeneza, ni kwamba hadi sasa Ofisa Mwandamizi anapokea posho kubwa kuliko Mkurugenzi na hata baada ya 'restructuring' atapata posho kulingana na Mkurugenzi. Anapaswa kuwa mkweli. Mtu anayetaka kuonekana muungwana, anapaswa kujiweka mbali na uongo pamoja, maneno ya kutunga pamoja na upotoshaji wa makusudi.

Kama ilivyoandikwa hapo juu, *restructuring* inaendelea. Ni hatua kwa hatua. Itafika ngazi za chini kama Baraza Kuu lilivyoagiza. Kwa sababu hiyo hadi sasa uteuzi wa Makatibu wa Mikoa na Wilaya haujafanyika.

Hata hivyo ruzuku imekuwa ikipelekwa kila kanda, mkoa, wilaya na jimbo kama ilivyoridhiwa na Kamati Kuu. Na hii ni zaidi ya pikipiki, kompyuta na magari yaliyopelekwa kila kanda. Angelikuwa mkweli, nagelisema na hili pia.

Ndugu Chitanda anajichanganya katika taarifa yake yote. Hii ni moja ya sifa ya kukosa hoja hivyo mtu anaamua kuibua viroja au kutunga maneno kwa sababu ya kushindwa kusema ukweli.

Anaonesha kuwa alikuwa mtu aliyeaminiwa hadi kuwa katika vikao muhimu, lakini wakati huo huo anasema kuna ubaguzi! Tunapaswa kumhurumia kwa kushindwa kuunganisha hata mawazo yake na kupata mtiririko wa hoja zenye mantiki! Angelikuwa mkweli angesema katika vikao vya sekretarieti na CC, aliingiaje kama kuna ubaguzi wa dini!

Kwa sababu anazozijua yeye, Ndugu Chitanda ameamua kujipachika cheo ambacho hajawahi kuwa nacho. Amejiita kuwa ni Katibu wa Sekretarieti ya Makao Makuu.

Ndani ya CHADEMA pamoja na kwamba nafasi hiyo imetajwa ndani ya Katiba ya Chama, hakuna mtu ambaye ameteuliwa kutumikia nafasi hiyo. Kama anaweza athibitishe kwa kutoa barua ya uteuzi kutoka kwa Katibu Mkuu.

Mahali pengine amejitambulisha kuwa ni Katibu Ofisi ya Katibu Mkuu. Ofisi hiyo ina Katibu Mtendaji mmoja ambaye ni Mzee Victor Kimesera, mmoja wa waasisi wa CHADEMA.

Operesheni ya Chama inayoendelea nchi nzima kwenye majimbo 103, si suala la siri wala lengo bovu kama anavyotaka umma uamini.

Ni mwendelezo wa mpango mkakati wa chama kupitia progamu za Vuguvugu la Mabadiliko (M4C), unaotekelezwa kwa hatua mbalimbali na kwa mbinu tofauti tofauti pamoja na dhana ya CHADEMA ni msingi.

Operesheni hiyo ambayo ni mwendelezo wa nyingi za namna hiyo zinazokwenda ngazi za chini kabisa za chama, zikilenga kuimarisha taasisi na mifumo, imeanza wiki hii na ilitangazwa mbele ya waandishi wa habari.

Tungependa kumalizia ufafanuzi huu mfupi kwa kutoa tahadhari kwa umma kuwa makini na matamko ya watu wa namna hii. Maana tunajua kwa uhakika yako mengi ya namna hii yatatokea kadri ambavyo Watanzania wanakaribia kuona na kuishi matumaini ya mabadiliko ya kiutawala na mfumo ndani ya nchi yao.

Mathalani katika taarifa yake, Ndugu Chitanda amedhihirisha na kuonesha kuwa ni aina ya watu ambao wanaCHADEMA na Watanzania kwa ujumla wanapaswa kuwaangalia kwa macho ya kuhoji na tahadhari ya hali ya juu, anasema hivi;

"Kwa kuwa siamini kwamba kuvuliwa nyadhifa kwa Zitto Kabwe na Dkt Kitila Mkumbo ni kwa sababu ya waraka wa ushindi, bali ninaamini kuvuliwa kwao ni kutokana na hofu ya uchaguzi, ubaguzi wa kikabila na kikanda."

Aya hiyo pekee inayotumia lugha wanayotumia mahasimu wa CHADEMA, wakiongozwa na viongozi waaandamizi wa CCM, wanaohangaika kutokana na Watanzania kuwakataa, wakijiandaa kuwaondoa madarakani kwa sababu sera zao zimeshindwa, inatosha kuonesha uhalisia wa taarifa yake yote.

Ni kauli za namna hii (kuwatisha na kutaka kuwatenganisha Watanzania) ambazo zimekuwa zikitumiwa na watawala kama njia pekee ya kutaka kuzuia upepo wa mabadiliko unaovuma nchi nzima, zimekuwa zikiwaunganisha zaidi Watanzania kuiunga mkono CHADEMA bega kwa bega, ili kupata haki na matumaini ya wanyonge, katika mapambano ya awamu ya pili, kuelekea uhuru wa kweli.

Imetolewa leo Novemba 30, 2013, Dar es Salaam na;

Tumaini Makene
Ofisa Mwandamizi wa Habari- CHADEMA

Marais wa Eac watia saini huko KAMAPALA kuhusu itifaki ya kutumia sarafu moja..!!

http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/5763105_orig.jpg

L-R ni Marais: Pierre Nkurunzinza (Burundi), Jakaya Mrisho Kikwete (Tanzania), Uhuru Kenyatta (Kenya), Yoweri Museveni (Uganda) na Paul Kagame (Rwanda) muda mfupi baada ya kutia saini itifaki ya Umoja wa Fedha wa Afrika Mashariki (picha: Freddy Maro/IKULU)

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Viongozi wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) leo kwa pamoja wametia  saini itifaki ya Umoja wa Fedha  wa Afrika Mashariki, (The East African Monetary Union) katika hoteli ya Speke, Munyonyo  mjini Kampala.

Marais waliotia saini itifaki kwa niaba ya wananchi wao ni Jakaya  Mrisho Kikwete wa Tanzania, Pierre Nkurunziza wa Burundi, Uhuru Kenyatta wa Kenya, Paul Kagame wa Rwanda na Yoweri Museveni wa Uganda .

Mara baada ya utiwaji wa saini, itifaki ya Umoja wa Fedha itapelekwa Kwenye mabunge ya nchi wanachama kwa ajili ya 

kuridhia ifikapo Mwezi Julai mwaka 2014.

Utiaji wa saini huu unaanzisha mchakato wa kuelekea kuwa na sarafu moja ifikapo mwaka 2024 kwa nchi za Afrika Mashariki.

Kikao cha viongozi pia kilishuhudia Rais Kenyatta akichukua Uenyekiti wa Jumuiya kutoka kwa Rais Museveni na kuelezea matarajio yake ya Jumuiya  kukua zaidi na kuzitaka nchi wanachama kuelimisha zaidi wananchi wa Afrika Mashariki kuhusu faida za Ushirikiano huu.

Itifaki ya Umoja wa Fedha ni ya tatu baada ya itifaki ya Umoja wa Ushuru wa Forodha na itifaki ya soko la pamoja na hatimaye kuelekea kwenye Shirikisho la Afrika Mashariki.

Katika mkutano wa Leo, mbele ya viongozi wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, mwanafunzi Peter Robert kutoka shule ya sekondari Tushikamane, Morogoro amepokea cheti na zawadi ya fedha taslimu baada ya kuibuka mshindi wa shindano la kuandika Insha inayohusu EAC.

Mara baada ya kikao,,Rais Kikwete amerejea jijini Mwanza kuendeleza na ziara ya kikazi katika Mkoa wa Simiyu ambapo kesho tarehe 1, ataendelea na ziara katika Wilaya ya Busega.

Mwisho.

Imetolewa na;
Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
Kampala, Uganda
30 Nov 2013

CHADEMA yazidi kupukutika...Mwekiti wa chama Mkoani Lindi nae Ajiengua, Anena Siri Nzito kuhusu Chama hicho..!!



SASA ni dhahiri kwamba hali si shwari ndani ya Chadema, baada ya viongozi zaidi kuendelea kuachia ngazi kwa kile walichodai kuchoshwa na hali ya mambo katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini.

Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Taifa, Said Arfi kujiuzulu wadhifa wake mwishoni mwa wiki iliyopita, jana ilikuwa zamu ya Mwenyekiti wa Chadema mkoani Lindi, Ally Chitanda aliyetangaza kujiuzulu nyadhifa zake zote ndani ya chama na pia kujivua uanachama.
Mbali ya kuwa Mwenyekiti wa Mkoa, kabla ya uamuzi wake huo uliotangazwa jana, Chitanda pia alikuwa Katibu wa Sekretarieti katika Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chadema Taifa katika makao yake makuu yaliyopo Mtaa wa Togo, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Alikuwa pia Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa na pia Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa.
Chitanda alianika uamuzi wake huo jana katika mkutano wake na wanahabari mjini Lindi, akisema amechoshwa na unafiki na uonevu unaoendelea ndani ya chama hicho alichojiunga nacho miaka kumi iliyopita akitokea NCCR-Mageuzi.

Alisema kikao cha Kamati Kuu kilichoketi kwa siku mbili na kufikia maazimio kadhaa ikiwa ni pamoja na kuwavua madaraka Naibu Katibu Mkuu, Kabwe Zitto, Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo na Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba ndiyo yaliyomchefua na kuchoshwa na mwenendo ndani ya Chadema.
Akitangaza kujiengua, alisema; "Napenda kuwaambia Wanachadema na Watanzania kwa ujumla, maamuzi haya ya Kamati Kuu ya kuwavua uongozi Zitto Kabwe na Dk Mkumbo ni maamuzi ya kijuha na yanayowafanya Watanzania sasa waangalie mara mbili mbili kama hawa watu wapo makini na huo ukombozi wanaousema."
Alisema Zitto na wenzake wameonewa, kwani hakuna baya lolote walilolifanya, bali wametoswa kutokana na homa ya uchaguzi mkuu wa ndani ya chama.

"Ni fedheha leo mimi kuwa sehemu ya watu wanaomuita Zitto Kabwe ni msaliti. Siwezi kuendelea na ujinga huu na sipo tayari tena. Si dhambi kumhukumu mtu kwa kuwa anapanga mipango ya kukushinda kwenye uchaguzi, dawa ya mpinzani wako ni kumkabili" Alisema.

Hakuna usaliti, uhaini, Aidha, Chitanda ameeleza kuwa, akiwa mtendaji wa ofisi ya Katibu Mkuu, alishiriki pamoja na Zitto na Katibu Mkuu, Dk Willibrod Slaa kupanga mikakati mbalimbali, mizuri na mibaya kwa nchi, lakini hawakuwahi kuitwa wasaliti, wahaini wala jina lolote baya.

"Tumekuwa tukiweka mikakati mbalimbali ya ushindi ili chama kishinde, kwa mfano, kabla hata ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki (Jeremiah Sumari), wakati tu ilipobainika anaugua, chama kiliandaa mkakati wa kushinda ubunge wa jimbo hilo na uchaguzi uliporudiwa mkakati ule ulitumika na kushinda.

"Naomba nikiri kwamba nikiwa Katibu wa Sekretarieti tumekuwa tukilazimishwa mara kadhaa kuwashawishi wajumbe wengi kutowaunga mkono watu wenye misimamo thabiti ndani ya chama na badala yake tumekuwa tukitumia rasilimali za chama kuwajenga wajumbe 'ndio'," alilalamika Chitanda na kudai kuwa, wakati Dk Slaa akisema mjadala wa Zitto umefungwa rasmi, ni uongo kwa kuwa amewaagiza wakurugenzi wa chama kuzunguka nchi nzima kusambaza waraka waliouandaa ukimchafua Zitto.

Kutokana na mambo yanayoendelea ndani ya chama, amedai nafsi yake haipo tayari kuendelea kuwa sehemu ya upotoshaji dhidi ya Watanzania wenzake.
"Nafsi yangu inanikataza kabisa kuendelea kufumbia macho maovu yanayoendelezwa na chama changu. Nafsi yangu imechoka kuendelea kushuhudia ubaguzi wa kidini na kikabila unaofanywa wazi wazi na viongozi wa chama changu.

"Nafsi yangu imekataa sasa, haipo tayari tena kuwa kuwadi wa kuwahadaa Watanzania kuyafikia matarajio tunayowapa ambayo kamwe hayafikiki. Kwa kuwa siamini kwamba kuvuliwa nyadhifa kwa Zitto Kabwe na Dk Mkumbo ni kwa sababu ya waraka wa ushindi, bali ninaamini kuvuliwa kwao ni kutokana na hofu ya uchaguzi, ubaguzi wa kikabila na kikanda.

"Hivyo basi, nikiwa na akili timamu kabisa, leo tarehe 30.11.2013 nimeamua kujivua nyadhifa zangu zote nilizokuwa nazo ndani ya chama. Sioni tena sababu ya kuendelea kuwa mwanaChadema, sioni tena sababu ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Lindi, sioni tena sababu ya kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Kamati Kuu," alisema.
`Kubebana' katika madaraka.

Licha ya kile alichodai ni uonevu dhidi ya Zitto na wenzake, Chitanda pia alilalamikia upendeleo wa nafasi nyeti ndani ya chama kwamba zimekuwa zikiegemea watu wa upande mmoja.
Mathalani, alisema pamoja na uamuzi wa kuwavua madaraka Zitto na wenzake hivi karibuni, Kamati Kuu pia iliridhia uteuzi wa wakurugenzi watano na kuwaongezea pia maslahi.

Aliwataja wakurugenzi hao ni Benson Kigaila (Mkurugenzi wa Oganaizesheni), John Mnyika (Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya Ndani), Anthony Komu (Mkurugenzi wa Fedha na Uwekezaji), John Mrema (Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri) na Wilfred Lwakatare (Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama).

Kwa mujibu wa Chitanda, uteuzi huo hauoneshi sura ya kitaifa kwani kati ya kurugenzi zote sita, nne zinaongozwa na watu wanne kutoka Mkoa mmoja wa Kilimanjaro.
Alisema mabadiliko hayo yanakwenda sambamba na posho nono, akisema wakurugenzi waliokuwa wakilipwa Sh 800,000 kwa mwezi, sasa watakuwa wakilipwa kati ya Sh milioni 1.5 na milioni 2.5 wakati maofisa waandamizi waliokuwa wanalipwa Sh 680,000 sasa watalipwa hadi Sh milioni 1.5.

"Pamoja na kwamba uboreshaji uliridhiwa, lakini katika mpango ulioridhiwa na Baraza Kuu ni pamoja na kulipa posho kwa makatibu wa wilaya na mikoa. Hawa ndio watendaji muhimu katika ujenzi na uhai wa taasisi hii lakini, hawakuangaliwa wala kuguswa badala yake wanatakiwa kujitolea tu kwa hali na mali," alisema.
Tangu uamuzi wa Kamati Kuu wa kuwavua madaraka Zitto na wenzake kwa tuhuma za kupanga mikakati ya `uhaini' ndani ya chama, kumekuwa na mpasuko ndani ya chama, wengine wakiunga mkono uamuzi wa uongozi na wengine wakipinga kwa madai kuwa nguvu kubwa imetumika `kuwaonea' wanasiasa hao vijana, lakini pia wenye nguvu na ushawishi wa kisiasa.

Miongoni mwa wanaotajwa kutoridhika kuondolewa kwa Zitto na wenzake ni mwanazuoni na mkongwe katika duru za kisiasa ambaye pia ni mshauri wa Chadema, Profesa Mwesiga Baregu aliyekaririwa kukionya chama kwa hatua hiyo, akisema haikuwa na ulazima kwa sasa, bali mambo yangeweza kusawazishwa kwa mazungumzo.
Naye Mwenyekiti wa Chadema wa Wilaya ya Temeke na mjumbe wa Baraza Kuu, Patrick Joseph, alitoa kauli iliyodhihirisha kuwa yeye ni mmoja wa wanaomwunga mkono Zitto.
Wengine ni Mwanasheria wa Mbowe, Albert Msando ambaye sasa ni Mwanasheria wa akina Zitto. Wakati Chitanda akiyasema hayo, Ofisa Mwandamizi wa Habari Chadema, Tumaini Makene jana jioni alitoa taarifa inayofafanua madai kadhaa ya Mwenyekiti huyo wa Mkoa wa Lindi aliyejiuzulu.

Katika ufafanuzi wake, alisema hakuna upendeleo katika ugawaji wa madaraka, akisema kati ya wakurugenzi sita waliopo kwa sasa, ni wawili tu ndio wanaotoka Kilimanjaro, Mrema na Komu.
Wengine na mikoa yao ni Mnyika (Mwanza), Kigaila (Dodoma) na Lwakatare (Kagera). Aidha, Makene aliyesema mjadala wa Zitto na wenzake umefungwa na kwamba zinasubiriwa taratibu za kikatiba ndani ya chama, alisema wakurugenzi waliotajwa si wapya katika nafasi zao, bali mpya ni mmoja, ni Mwanasheria Peter Kibatala, atakayesimamia Kurugenzi ya Sheria na Haki za Binadamu. Kibatala ana asili ya Mkoa wa Morogoro.

Amekanusha pia kuwa Chitanda alikuwa Katibu wa Sekretarieti ya Makao Makuu, akisema nafasi hiyo ambayo imo ndani ya Katiba ya Chadema haina mtu mpaka sasa.
"Mahali pengine amejitambulisha kuwa ni Katibu Ofisi ya Katibu Mkuu. Ofisi hiyo ina Katibu Mtendaji mmoja ambaye ni Mzee Victor Kimesera, mmoja wa waasisi wa Chadema," anasema na kuongeza kuwa, kauli ya Chitanda kwamba Zitto na wenzake wameonewa kwa hofu ya uchaguzi inashangaza kwani ni kauli za mara kwa mara zinazotoka kwa mahasimu wa Chadema kisiasa.
Get our toolbar!Get our toolbar!
  • Alexaporn - XXX (+18) Search!Alexaporn - XXX (+18) Search!
 
Sell Your Products At TripleClicks!Share Links Earn Money!
cafepress.com/nicemike
Sale Online!
Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
Proudly powered by Blogger