Mh.Lowassa Asali Krismas Zanzibar | MIKENTOBI MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
Labels :
Home » » Mh.Lowassa Asali Krismas Zanzibar

Mh.Lowassa Asali Krismas Zanzibar

Written By Mike Ntobi on Wednesday, December 26, 2012 | 6:50 AM


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa akitoa salaam za Xmas kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mwanakwerekwe Zanzibar mara baada ya ibada ya Sikukuu hiyo jana.  Mh. Lowassa, yuko visiwani humo kwa mapumziko ya sikukuu hiyo,ambapo amewataka watanzania kusherehekea sikukuu hizi za krismas na mwaka mpya kwa amani na upendo huku tukilinda umoja na mshikamano uliojengwa na waasisi wetu Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Karume.


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa na mkewe Mama Regina Lowassa wakiungana na Wakristo wengine kwenye ibada ya Sikukuu ya Krismas iliyofanyika jana kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mwanakwerekwe Zanzibar.
Share this article :

Related Posts :

Post a Comment

 
Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
Proudly powered by Blogger