MIKENTOBI | A Blog with updated posts about events and current issues! MIKENTOBI - A Blog with updated posts about events and current issues!
NEWS UPDATE :
Over a 100,000 ways to Earn Online!Sale Online!
[ New Posts ] : Habari Mpya Zote - HAPA CHINI!!!
Labels :

Taarifa Kwa Umma: Usafiri Wa Tren Jijini Dar es Salaam

Written By Mike Ntobi on Thursday, December 06, 2012 | 5:05 AM

Baada ya baadhi ya vyombo vya habari kuandika tarehe 3 Desemba 2012 kauli yangu kuwa usafiri wa treni katika jiji la Dar es salaam kwamba kwa sasa unaingiza hasara ya wastani wa shilingi milioni 10 kwa siku tano, wanahabari mbalimbali kupitia simu na baadhi ya wananchi kupitia mitandao ya kijamii wametaka nitoe ufafanuzi kuhusu madai hayo.

Ieleweke kwamba nilitoa kauli hiyo wakati nikijibu swali la mwananchi kwenye mkutano wa hadhara tarehe 1 Desemba 2012 katika mtaa wa Saranga Jimboni Ubungo ambaye alihoji kuhusu ufanisi wa usafiri wa treni jijini Dar es salaam na hatua nyingine ambazo Serikali inapaswa kuchukua kupunguza msongamano katika Jiji la Dar es salaam; hivyo katika hotuba yangu nilizungumza masuala mengi na kueleza mapendekezo niliyotoa kwa nyakati mbalimbali ya kuboresha mfumo mzima wa usafiri.

Nilieleza kwamba naunga mkono usafiri wa treni kuwepo jijini Dar es salaam na kwamba katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ilikuwa ni moja ya masuala niliyoahidi wananchi kwamba nitayafuatilia, na wakati huo wa kampeni wapo walionipinga ikiwemo kwa kuzungumza katika mikutano yao ya kampeni na hata katika radio.

Kazi ya mbunge ni kuwawakilisha wananchi katika kuishauri, kuisimamia serikali na kutunga sheria hivyo kwa msingi huo mara baada ya kuchaguliwa nilihoji bungeni kutaka hatua za haraka za kuanzishwa kwa usafiri huo na hatimaye Wizara ya Uchukuzi (wakati huo ikiwa chini ya Waziri Omar Nundu) mwaka 2011 ikajibu kuwa itatumia sehemu ya fedha kwenye bajeti kuanza matengenezo kwa ajili ya usafiri huo kuanza.

Ripoti Ya Nchi Maskini Sana Duniani Ya Mwaka 2012


RIPOTI YA NCHI MASIKINI SANA DUNIANI MWAKA 2012
UKWELI WA MAMBO NA TARAKIMU


Geneva, 26 Novemba 2012 – Ripoti ya Nchi Maskini Sana Duniani ya Mwaka 20121, yenye kichwa kidogo cha habari Kutumia Fedha Zinazotumwa na Raia Wanaoishi Nga’ambo na Weledi Wao Kujenga Uwezo wa Uzalishaji, imetolewa leo.

Mwelekeo wa uhamiaji

Ø Idadi ya watu ambao wamehamia Ulaya kutoka Nchi Maskini Sana (LDCs) iliongezeka kutoka milioni 19 mwaka 2000 kufikia milioni 27 mwaka 2010. Hii ni sawa na 3.3% ya wakazi wote wa nchi hizo.

Ø Nchi Maskini Sana Duniani zinatoa 13% ya wahamiaji duniani kote---idadi ambayo inalingana na mgawo wa LDCs katika idadi ya wakazi wote duniani (12.1%).

Ø Wahamiaji wanne kati ya watano kutoka LDCs wanaishi kwenye nchi zinazoendelea (Kusini) na mmoja tu kati wa watano ndiye anaishi kwenye nchi zilizoendelea (Kaskazini).

Mwanaume na Mwanamke waliogandana huko Temeke

Written By Mike Ntobi on Friday, November 30, 2012 | 12:51 PM

Watu wawili wamekutwa wamegandiana kutokana na kuvunja amri ya sita (kufanya mapenzi) kwenye gesti moja huko temeke jijini dar es salaam masahibu hayo yamewakuta wawili hao baada ya baada ya njema mmojakuchukua mke wa mtu ambaye inasemekana amefungwa kitamaduni kana kwamba yeyote atakayejaribu kumgusa kinyume na taratibu basi atanasa na hivyo ndivyo ilivyokuwa iliyoiba mke wa mtu na kwenda naye kula raha nyumba ya wageni hapo temeke
 Hadi kufikia sasa watu hao wapo hospitalini ya temeke ambapo jitihada za kuwatenganisha kwa wataalam zimeshindikana,Na mme wa mwanamke ameibuka na kudai alipwe milioni 5 za Kitanzania ili aweze kuwachanisha hao wawili.

Huu ni umati wa watu waliofurika kuwashuhudia wawili hao waliofungishwa ndoa ya pili baada ya kujiiba awali, na sasa mume aliamua kumtega mke wake.

Baada ya watu hao kufikishwa Hospitalini hapo, ilifuata mkakati mzito wa kuficha taarifa hizo ili zisivute hisia za watu wengi. Lakini kama ujuavyo Bongo - Darisalama - Jiji la Umbea,.... watu walipata habari na ilileta tafrani kidogo kabla kuanzisha mkakati wa kuficha habari hizo ili angalau kuzuia mkusanyiko wa watu uliokuwepo na waliokuwa wakiongezeka dakika baada ya dakika.

Picha za Gari alilopata nalo ajali Sharo Millionair


Hizi ni baadhi ya picha za gari aina ya Harrier T478 BVR alilopatanalo ajali Marehemu Sharo Millionair hadi kupelekea umauti wake. Habari zaidi kuhusu picha za ajali ya gari, pamoja na tukio zima kabla ya ajali, endelea kusoma hapa chini...


Habari za uhakika kuhusiana na chanzo cha kifo cha msanii Hussein Ramadhan a.k.an Sharo milionea ni kwamba gari yake aina ya Toyota harrier ilipata pancha tairi la upande wa kulia na kukosa mwelekeo kisha ikaacha njia na kuelekea mtaroni lakini ule mtalo haukuizuru sana gari hiyo ikaruka na kuingia katika shamba la mahindi.
Kitu kilichoshangaza wengi ni sehemu ambayo si hatarishi sana kiudereva sababu iko tambarare na kona si kali eneo hilo.


Get our toolbar!Get our toolbar!
  • Alexaporn - XXX (+18) Search!Alexaporn - XXX (+18) Search!
 
Sell Your Products At TripleClicks!Share Links Earn Money!
cafepress.com/nicemike
Sale Online!
Support : MIKENTOBI | Creating Website | Johny Template | Mas Template | UviOo | SFI

Copyright © 2010 - 2014. MIKENTOBI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Modified and Published by MIKENTOBI
Proudly powered by Blogger