*SMILE WE CARE INTERNATIONAL COMPANY LTD*
Written By Mike Ntobi on Monday, May 25, 2020 | 12:51 PM
Smile we care ni Shirika lisilo la Serikali ambalo ni la KIMATAIFA linalowezesha wanachama wake kwa mfumo wake kwa kujikwamua kiuchumi.Makao makuu ya SMILE WE CARE yapo NIGERIA na mwanzilishi wake anaitwa Mr *COMR INYANG JAMES FRIDAY.*
*LESSONS FROM 15 CONTEMPORARY PROMINENT MEN & WOMEN!!! COMPILED BY MIKE NTOBI*
Jacky Jasper's Diary Of A Hollywood Street King
Written By Mike Ntobi on Thursday, July 03, 2014 | 7:05 PM
Jacky Jasper's Diary Of A Hollywood Street King |
- Benzino Bangs On Joseline After Stevie Kicks Her Off His Bus!
- Say Word: Nick Cannon’s Banking On Playing Pryor!
- Arsenio Hall Weighs In On Being a Black Man Down
- Nicki Minaj Bows Down To ‘Slave-Master’ Azalea!
- On The Road: Beyonce Rips Jay Z Over Cheating Resentment!
- Katt Williams NOT Arrested Amidst Armed Allegations Against Him
- Bobbi Kris’ Half-Azz ‘Apology’ Over Shadin’ At Angela Bassett
| Benzino Bangs On Joseline After Stevie Kicks Her Off His Bus! Posted: 02 Jul 2014 02:05 PM PDT Zino just unleashed his wrath on Joseline Hernandez! Homey just put her smashing biz all out there. This, just days after she’s said to have checked into Heartbreak Hotel after Stevie kick her... Click Headline for FULL Story... |
| Say Word: Nick Cannon’s Banking On Playing Pryor! Posted: 02 Jul 2014 01:56 PM PDT The fact that there’s a filmography project surrounding the life of Richard Pryor in the making is a joke in itself. Know why? Because Richard Pryor already directed his own life story, playing... Click Headline for FULL Story... |
| Arsenio Hall Weighs In On Being a Black Man Down Posted: 02 Jul 2014 01:12 PM PDT HSK Exclusive – Arsenio Hall knows all too well what it’s like to be a Black bonafide talent being overshadowed by less than talented Caucasian counterparts. That could be why the one... Click Headline for FULL Story... |
| Nicki Minaj Bows Down To ‘Slave-Master’ Azalea! Posted: 02 Jul 2014 12:51 PM PDT She says “the media puts words in my mouth”, but there’s no denying the shade Nicki Minaj threw at Iggy Azalea during her acceptance speech for Young Money’s ‘Best... Click Headline for FULL Story... |
| On The Road: Beyonce Rips Jay Z Over Cheating Resentment! Posted: 02 Jul 2014 11:49 AM PDT Where’s Joey Greco when you need him? Hey Joey, if you’re out there… you might wanna head over to catch Clyde ‘On The Run’ from his Bonnie! Know why? Bey’s putting... Click Headline for FULL Story... |
| Katt Williams NOT Arrested Amidst Armed Allegations Against Him Posted: 02 Jul 2014 11:41 AM PDT Katt Williams is at the center of accusations claiming the comedian “threatened a heckler with a gun”… after he’s reported to have fallen victim to a racist and derogatory... Click Headline for FULL Story... |
| Bobbi Kris’ Half-Azz ‘Apology’ Over Shadin’ At Angela Bassett Posted: 02 Jul 2014 11:14 AM PDT Is it just me or does Bobbi Kris always seem to justify her wretched ways by droppin’ the ‘don’t judge me’ spiel? The troubled 21-year-old is back at using that same line... Click Headline for FULL Story... |
| You are subscribed to email updates from Jacky Jasper's Diary of a Hollywood Street King To stop receiving these emails, you may unsubscribe now. | Email delivery powered by Google |
| Google Inc., 20 West Kinzie, Chicago IL USA 60610 | |
[New post] WITCH THINGZ!!!! PHOTOS: Snakes tangled in electric wires in Benin city
234Pulse Staff posted: " This pic was taken in Benin city by a resident who says they, residence of Market Road in Ekosodin, Benin City, woke up this morning July 2nd to find several snakes bunched up and tangled in the electric wires in the street. "We have been confused and"
|
[New post] STALKER DERANGEMENT SYNDROME: Woman Arrested After She Called Her Ex 77,000 Times, Sent Him 1937 Emails, 41 229 Text Msgs In A Week
234Pulse Staff posted: " According to the WorldNewsDaily, a New Mexico woman was finally arrested this morning by officers of the Albuquerque Police Department in what could be the most extreme case of stalking ever recorded in the history of the country. The 28-year old wo"
|
[New post] A Peek Into The Luxurious Lives Of The RICH Kids Of Snapchat [PHOTOS}
234Pulse Staff posted: " Rich Kids of Snapchat is a Facebook page offering a glimpse into the luxurious lifestyles of a group of teens and 20-somethings launched by a 17-year-old boy from the UK. The pictures on the site are of sports cars, private jets, luxury goods and lav"
|
Woman with world’s biggest natural assets
Written By Mike Ntobi on Sunday, May 04, 2014 | 5:25 AM
Woman with world’s biggest natural assets
Says - " I’m so happy being hippy "
CURVY Mikel Ruffinelli shows off the world’s biggest hips — measuring more than EIGHT FEET round.
"Simlipi Wema Mil 13 Ng'o" - Kajala
Katika gazeti hili, toleo namba 877 la Aprili 25-Mei Mosi, 2014 la wiki iliyopita, liliandika habari ya Wema iliyokuwa na kichwa; Kwa mara ya kwanza Wema afunguka, asema: NAJUTA KUMLIPIA KAJALA MIL. 13!
Hiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa Wema kufunguka baada ya bifu la kimyakimya la muda mrefu ambapo alifafanua chanzo cha bifu lao na namna anavyojuta kumlipia Kajala fedha hizo.
“Kusema kweli najuta kumlipia (Kajala) ile faini ya Sh. milioni 13. Bora angeenda jela miaka saba kuliko kunisababishia matatizo na maumivu kiasi hiki. Mimi sijawahi kumsema vibaya K kisa eti nilimlipia fedha hizo,” alisema Wema katika gazeti hilo.
“Kama anataka kunilipa, anilipe kisha aende jela maana mimi sikumkopesha, nilitoa kwa moyo.”
Akizungumza na mwanahabari wetu, Kajala alisema katika vitu ambavyo Wema anatakiwa kuvisahau ni pamoja na kumlipia mahakamani hizo milioni 13.
“Siwezi kumlipa ng’o. Namlipa nini sasa na kivipi? Kwani tulikopeshana? Hakuna anachonidai Wema, hata kama akisema nimlipe, siwezi kufanya hivyo,” alisema Kajala.
Huku akimwaga machozi, Kajala aliendelea: “Unajua haya mambo yanachukuliwa kirahisi tu na wadandiaji wa mambo, ni vile watu hawajui ni kwa kiwango gani hili suala linaniumiza.
“Wema alinisaidia, alinilipia fedha mahakamani wakati ambao nilikuwa na uhitaji na sikuwa na zile fedha. Kama asingejitokeza kunilipia nilikuwa nakwenda jela.
“Lile ni jambo kubwa. Thamani yake haifananishiki na fedha. Ule ulikuwa ni utu tu, sasa leo iweje ligeuzwe kuwa kama deni? Siwezi kufanya hivyo.”
Kwa mara nyingine tena, Kajala alisema kuhusu kupatana na Wema yupo tayari muda wowote, maana haoni sababu ya kuendelea kwa ugomvi huo.
Hii ni mara ya tatu Kajala kuzungumzia suluhu akisisitiza: “Nakosa amani kabisa na huu mzigo. Natamani kuutua. Nipo tayari kukutanishwa naye hata leo tuyamalize.”
“Lile lilikuwa agizo, Wema hakuwa na fedha zote zile kwa ajili ya kumlipia Kajala. Alipewa na CK na kuambiwa amlipie ili asiende jela,” alisema mmoja wa watu wa karibu na mastaa hao kwa sharti la kutotajwa gazetini.
Chanzo kinaendelea: “Alivyoingia mitaani, CK akajiweka karibu na Kajala na kumweleza mchongo mzima, kuwa yeye ndiye aliyetoa hizo fedha kwa hiyo asiwe na wasiwasi.
“Ndiyo maana hata Wema na CK walivyoachana ikawa rahisi kwa CK kujimilikisha Kajala moja kwa moja kwa sababu anaujua ukweli.”
Haya ni madai ya chanzo chetu ambayo hayajathibitishwa na wahusika.
Habari nyingine ambazo bado zinafuatiliwa ili zithibitishwe, zinasema kuwa, safari nyingi za Kajala kwenda China kwa mapumziko huwa anamfuata au kuongozana na CK.
“Hata sasa hivi (juzi Jumatano) wapo safarini China wanakula bata. Yaani haya mambo yamejifunga sana. Yanahitaji hekima sana kuyamaliza,” aliendelea kudai.
Wadau wa tasnia ya filamu Bongo, kwa nyakati tofauti wamekuwa wakipiga simu na kutuma ujumbe mfupi katika chumba cha habari cha magazeti pendwa Tanzania, Global Publishers na kueleza jinsi ambavyo mtaani kunazidi kuchafuka kuhusu sakata hilo huku wengi wakiwataka wayamalize.
“Haya mambo yanakuzwa na watu. Hawa ni wasanii wazuri, wana majina makubwa na wanaendana, nashauri wazungumze, wayamalize. Bifu lao halijengi badala yake linabomoa,” Maimuna Sadallah wa Majani Mapana, Tanga alieleza katika ujumbe wake.
Msomaji mwingine aliyejitambulisha kwa jina la mama Mwaija mkazi wa Mbagala - Maji Matitu, Dar alikuwa na haya ya kusema: “Haya mambo ya wanangu Wema na Kajala yananichoma sana. Napenda sana filamu zao, nafurahia namna wanavyoshirikiana na kusaidiana. Hebu wamlaani shetani.”
James Sukae wa Kimara-Baruti, Dar alisema: “Hili jambo na umri wao naona ni kubwa sana kwao kulimaliza. Tukisema tusubiri wayamalize wenyewe, haitawezekana ila litazidi kuwa kubwa.
“Kajala ana wazazi wake, Wema naye kadhalika.
Tena hapa nisisitize, wazazi wanaopaswa zaidi kushughulikia hili ni mama zao. Mama Kajala na mama Wema wanatakiwa kukutana na watoto wao ili wawakalishe na kuzungumza.
“Kwangu mimi, mbele ya wazazi ni jambo dogo sana. Hekima zao ni kubwa na bila shaka watalimaliza kuliko kuacha likielea kama ilivyo sasa. Wakipuuzia hili suala litasababisha janga kubwa.”
Hivi Aunt.. Huyo ni Sunday AU!? Maana.. Duh!
Aunt Ezekiel afata nyayo za Wema Sepetu na Diamond the Platnumz, ni jana tu tuliona Diamond the Platnumz na Wema Sepetu waliamua kuachia picha ikionyesha huku wakinyonyana ndimi, basi na aunt yake akaona isiwe shida, na yeye huko alipo Dubai akaamua kufanya yake kwa kufanya mapenzi na mpenzi wake, na baada ya hapo akaamua kufotoa picha huku wakinyonyana ndimi na kuficha sura ya mwanaume wake.
Mtoto Anusuru Ndoa ya Bob Junior
![]() |
| Msanii wa Bongo Fleva, Raheem Nanji ‘Bob Junior’ akiwa na mkewe na mwanaye. |
| Msanii wa Bongo Fleva, Raheem Nanji ‘Bob Junior’. |
Mume Jela, Aunt Ala Raha Viwanja!
Kwa mujibu wa chanzo hicho, taarifa za mumewe kuwa jela, Aunt alizichukulia poa kwani baada ya tu ya habari hizo Aunt aliendelea kujirusha katika kumbi tofauti jijini Dar na hata nje ya Dar kana kwamba hakuna kitu kilichotokea.
Kumbukumbu zilizopo katika makrabasha ya Magazeti Pendwa zinaoonesha kuwa, Aunt alipoulizwa na mapaparazi wetu kuhusiana na taarifa hizo, alikiri kuzifahamu lakini akafafanua kuwa mumewe alikamatwa na kuachiwa huru lakini watu wa karibu wameendelea kupinga.
Licha ya Aunt kudai mumewe huyo alikamatwa na kuachiwa, lakini tangu alipotamka kauli hiyo mwishoni mwa mwaka jana hadi sasa, mwanaume huyo hajawahi kuonekana hadharani.
kufafanua ni ishu gani.
Wakati taarifa hizo zikiendelea kusambaa jijini Dar, mapaparazi wetu waliwahi kumnasa staa huyo katika viwanja tofauti vya starehe kwenye miji ya Arusha na Dar es Salaam.
Mapama wiki hii, Aunt ambaye yupo Dubai aliposti picha katika mtandao wake wa Instagram na kuonesha jinsi gani anakula raha huko.
wake mtandaoni.
Taarifa zaidi zimeeleza kuwa mara baada ya kuzagaa kwa picha hizo katika mitandao ya kijamii, baadhi ya mashemeji wa Aunt walikuja juu na kudai wanamshangaa ni vipi haoni hali ilivyo na hawamsikii akizungumzia lolote kuhusu ndugu yao.
Katika kusaka data zaidi za ndugu wa Demonte, paparazi wetu alimtafuta mmoja wa mashemeji hao wa Aunt ambaye hakutaka jina lake lichorwe gazetini ambapo alisema wamechukizwa na picha hizo na wanajipanga kumpa talaka.































